Mbeumo, Manchester United mambo yazidi kuwa magumu MPANGO wa Manchester United kumsajili mshambuliaji wa Brentford na timu ya taifa ya Cameroon, Bryan Mbeumo, 25, umesimama kwa muda baada ya timu yake kuongeza bei hadi kufikia Pauni 70 milioni...
Real Madrid yapanga kumuuza Vinicius Jr REAL Madrid imempanga kumuuza mshambuliaji wao wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Jr, katika dirisha hili ikiwa ataendelea kugoma kuongeza mkataba mpya katika dirisha hili.
Wakipatikana hawa Liverpool, maji mtaita ‘Mmma’ HUU msimu patakwenda kuchimbika. Liverpool inaonekana kufungua pochi kuhakikisha kocha Arne Slot anafanya usajili kwenye dirisha lake la kwanza la majira ya kiangazi - na sasa kinachoonekana...
Madrid, Liverpool yafungua mazungumzo dili la Rodrygo GALATASARAY imetuma ofa nyingine kwenda Napoli ambayo inaeleza imekubali kulipa Euro 75 milioni kwa ajili ya kumsajili straika wa timu hiyo na Nigeria, Victor Osimhen katika dirisha hili.
Mourinho apendekeza jina la Rashford Fenerbahce KOCHA wa Fenerbahce ya Uturuki, Jose Mourinho anadaiwa kupendekeza jina la mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, 27, kwa mabosi wa timu yake na...
Timu kibao zinamtaka Darwin Nunez BARCELONA, AC Milan, Al Hilal na Al Nassr zote zipo katika vita kali ya kuiwania saini ya mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Uruguay, Darwin Nunez, 26, katika dirisha hili la majira...
Garnacho, Napoli kuna kitu MKURUGENZIwa michezo wa Napoli, Giovanni Manna anatarajia kukutana na wawakilishi wa Manchester United kujadili uwezekano wa kuipata saini ya winga wa timu hiyo na Argentina, Alejandro Garnacho...
PSG v Inter, beti kwenye fainali ya kusisimua ya UEFA Tovuti bora ya kubashiri michezo 1xBet inawasilisha mechi ya uamuzi ya mashindano makuu ya vilabu barani Ulaya, itakayochezwa Mei 31.
Dortmund yajiweka kando kufukuzia saini ya Sancho BORUSSIA Dortmund haina nia ya kumsajili Jadon Sancho katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi, huku mustakabali wa mchezaji huyo wa kimataifa wa England ukiwa haueleweki.
Usajili 2025/26, Arsenal ina jambo lake! ARSENAL imepanga kufanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi chake baada ya kuwa na mkwanja wa Pauni 150 milioni wa kutumia kwenye usajili wa dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi huku...