Agnes Ng’etich: Nitaileta rekodi ya dunia nyumbani “Tulieni, rekodi ya dunia inakuja.” Huo ndio ulikuwa ujumbe wa mwanariadha anayeshikilia rekodi ya dunia ya mbio za kilomita 10, Agnes Ng’etich, kwa Wakenya baada ya kukosa kuvunja rekodi ya...
Kenya Police yatinga CAF kuishtaki Al Hilal iondoshwe CAFCL Kenya Police FC, ina imani kwamba Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) litatoa uamuzi mzuri kwao baada ya kuwasilisha malalamiko dhidi ya Al Hilal Omdurman ya Sudan kwa madai ya kuwatumia...
Mechi 5 zitakavyoamua vita ya Arsenal, Man City, Liverpool England WIKIENDI ilikuwa tamu kwa Arsenal ilipofufua matumaini yao ya kunyakua taji la Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza tangu 2004.
Peres Jepchirchir: Kutoka kuuguza majeraha hadi kushinda medali ya dhahabu Tokyo Bingwa wa dunia wa mbio za marathoni, Peres Jepchirchir, anasema mapumziko ya miezi miwili kutokana na jeraha la mguu aliyopata Aprili 2025, yalimfanya arejee uwanjani akiwa na hamu kubwa ya...
Bayern yajipanga kumpa mkataba Nicolas Jackson BAYERN Munich inajiandaa kumpa mkataba mpya wa muda mrefu mshambuliaji wao wa kimataifa wa Senegal, Nicolas Jackson, 24, ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo katika timu yao akitokea Chelsea.
EPL: Mtifuano kuendelea wikiendi hii KIPUTE cha Ligi Kuu England cha raundi ya tano kitapigwa leo ambapo vigogo Manchester United, Liveprool, Manchester City, Chelsea na Totteham Hotspur watashuka viwanjani kwa ajili ya kuendelea...
Bayern, Barca ni jino kwa jino kwa Dusan Vlahovic BARCELONA inaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Juventus na timu ya taifa ya Serbia, Dusan Vlahovic, mwenye umri wa miaka 25, ambaye anatarajiwa kuwa mchezaji huru mwisho wa msimu huu.
Palace yakubali kwa Guehi, Barca, Madrid zatajwa CRYSTAL Palace inajiandaa kumuuza beki wake wa kati wa kimataifa wa England, Marc Guehi dirisha lijalo la majira ya baridi.
Guehi, Upamecano, Konate watajwa Real Madrid REAL Madrid imewaweka katika rada mabeki watatu ambao inaweza kuwasajili Januari mwakani au mwisho wa msimu huu ili kuboresha safu ya beki.
Barca yaamua jambo kwa Lewandowski, Milan yatajwa BARCELONA haina mpango wa kumsainisha mkataba mpya mshambuliaji wake wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski, mwenye umri wa miaka 37 ambaye anawindwa na AC Milan.