JASON STATHAM: Filamu zinavyomfanya aishi anavyotaka KUTOKA 'Transporter' hadi 'Working Man', kama hujatazama filamu za mkali wa mapigano Jason Statham basi umekosa mengi.
Chama la Yamal... Utake, usitake utapigwa tu! Linapokuja suala la kuchagua kikosi bora kwenye historia ya soka jambo hilo ni gumu sana, hata inapotakiwa kikosi chenyewe uchague kutoka kwa mastaa wa Barcelona.
Manchester United yapanga mikakati kwa Osimhen MANCHESTER United inafanya majadiliano ya ndani kuhusu ofa ambayo inaweza kuiandaa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26.
Kwa Arsenal hii, kazi ipo 2025/26 MISIMU mitatu mfululizo kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu England, hilo limewachosha Arsenal.
Darwin Nunez anukia kutua Saudia, Al Hilal yatajwa MSHAMBULIAJI wa Liverpool, Darwin Nunez huenda akaondoka Liverpool dirisha lijalo la majira ya kiangazi baada ya Al-Hilal ya Saudi Arabia kuanza mawasiliano na wawakilishi wake ya kumsajili.
Liverpool yaingia vitani kuisaka saini ya Osimhen LIVERPOOL wamejitosa katika vita ya kuiwania saini ya mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26, ambaye msimu uliopita alikuwa kwa mkopo Galatasaray.
Napoli yaendelea kukomaa na saini ya Jadon Sancho MANCHESTER United inafanya majadiliano ya ndani kuhusu ofa ambayo inaweza kuiandaa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26.
Liverpool, Inter Milan vita kali kwa Joshua Kimmich INTER Milan imejitosa katika vita dhidi ya Liverpool ili kuipata huduma ya kiungo wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani, Joshua Kimmich dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Bernardo Silva aingia anga za Barcelona KIUNGO wa Manchester City na timu ya taifa ya Ureno, Bernardo Silva, 30, ni miongoni mwa mastaa ambao mabosi wa Barcelona wamepanga kuwasajili katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Vigogo wawili wazidi kumgombea Wirtz MANCHESTER City, Liverpool na Arsenal wanamnyatia kiungo mshambuliaji wa Bayer Leverkusen, Florian Wirtz, kuelekea dirisha lijalo la majira ya kiangazi lakini timu yake inahitaji kiasi...