Partey atua anga za Barcelona BARCELONA imeanza mazungumzo na kiungo wa Arsenal na Ghana, Thomas Partey, 31, kuhusu uhamisho wa bure katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ambapo mkataba wake utamalizika.
Sheria ya pigo la penalti yaboreshwa Bodi ya Vyama vya Mpira wa Miguu Duniani (IFAB) imefanya maboresho ya sheria mbili za soka ambazo ni sheria namba 10 inayohusu kuamua matokeo ya mchezo na sheria namba 14 inayohusu pigo la penalti.
Vigogo Barca waanza kazi kwa Luis Diaz BARCELONA imeanza mazungumzo ya awali ya kumsajili winga wa Liverpool, Luis Diaz, 28, katika dirisha hili la usajili huko Ukaya, lakini inakumbana na upinzani mkubwa kutoka katika timu za Saudi...
Mastaa wasioimbwa NBA 2025 KATIKA kipindi cha mchujo (playe off) kinachoendelea kwenye Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), macho ya wengi yameelekezwa kwa nyota wanaobeba majukumu ya timu.
Madrid ya Alonso, mtaomba poo! REAL Madrid itakuwa ya fomesheni ya tofauti kabisa chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
Arsenal bado kidogo tu kunasa saini ya Zubimendi ARSENAL imeripotiwa kufikia kwenye hatua nzuri ya kumsajili kiungo wa Real Sociedad, Martin Zubimendi katika dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi huko Ulaya.
PRIME Sababu za mechi ya marudiano kupigwa Zenji TAARIFA mbaya kwa Simba ni Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limeuondoa mechi ya marudiano ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Bekrane kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa hadi...
Vigogo Arsenal wakomaa na Sesko, Gyokeres ARSENAL kwa sasa imewekeza nguvu zote katika mazungumzo na wawakilishi wa straika wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Slovenia, Benjamin Sesko, 21, pamoja na straika wa Sporting Lisbon na timu ya...
Vigogo wapigana vikumbo kwa Jonathan David NEWCASTLE United, Manchester United, Tottenham, West Ham, Chelsea, na Liverpool zimeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Lille na timu ya taifa ya Canada, Jonathan David, 25, dirisha lijalo...
Dili la Mbeumo, Man United yapewa siku mbili BRENTFORD imetoa siku mbili kwa Manchester United na imekataa kushusha bei ya mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon, Bryan Mbeumo kufikia walau pauni 63 milioni ambazo Man United ipo tayari kutoa.