Mastaa West Ham wamsapoti Antonio LONDON, ENGLAND: WACHEZAJI wa West Ham United wameungana kumsapoti mchezaji mwenzao, Michail Antonio baada ya kupata ajali mbaya ya gari. Mastaa hao wa West Ham United wote walivaa jezi yenye...
Ligi Kuu Bara namba zinaongea LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuendelea leo Jumatano kwa kuchezwa mechi mbili ikiwa ni raundi ya 14 tukielekea kuugawa msimu. Baada ya kumalizika kwa raundi hii, tunabakiwa na moja ambayo imekuwa na...
Mastaa kibao wawekwa kando kikosi cha FIFPRO SHIRIKISHO la wanasoka wa kulipwa (FIFPRO) limefichua kikosi chake cha kwanza bora huku majina kibao ya wanasoka mastaa yakikosekana.
PRIME Mastaa Yanga wamtibua Ramovic, atoa msimamo mkali dirisha dogo TATHMINI ya mitaani pamoja na mitandaoni inaonyesha mashabiki wa Yanga wamekosa imani kutokana na matokeo ya siku za hivi karibuni kwenye michuano mbalimbali.
Real Madrid haitaki utani, yatua kwa Cole Palmer Palmer ambaye amekuwa katika kiwango bora tangu ajiunge na Chelsea katika dirisha la majira ya kiangazi mwaka jana, mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwaka 2033.
Kesi ya Man City bado hukumu tu! KUMEKUCHA. Suala la kusikiliza pande zote mbili kwenye kesi ya mashtaka ya Ligi Kuu England dhidi ya Manchester City limekamilika, imeripotiwa.
Duh! Kiungo Dani Olmo ang’oka jino uwanjani KIUNGO wa Barcelona, Dani Olmo ameng’oka jino baada ya kugongana na beki wa Real Betis, Marc Bartra katika mchezo wa La Liga uliofanyika Jumamosi.
Man United yafuta cheo cha mkurugenzi wa michezo MANCHESTER United imeamua kukifuta cheo cha mkurugenzi wa michezo baada ya kufeli kwenye jaribio lao la kumtumia Dan Ashworth.
Chanzo kifo cha mchekeshaji Molingo chatajwa Mudi Msomali aliyekuwa akimsimamia marehemu mchekeshaji Frank Patrick, maarufu Molingo katika sanaa yake, amesema kijana huyo aliishiwa damu baada ya kumtoka kwa saa tano.
Mchekeshaji Molingo afariki dunia kwao Chato Mchekeshaji Frank Patrick, maarufu Molingo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Desemba 10,2024 nyumbani kwao Chato, mkoani Geita ambako alikuwa akiuguzwa na mama yake mzazi. Taarifa ya kifo...