‘Undercard’ ya PacMan imeshiba JE unajua kwamba bondia mkali wa ngumi za uzito wa juu duniani kuanzia mwaka 1995-2021 anarudi? Unamjua Manny Pacquiao?
Jeremie Frimpong akaribia kumalizana na Liverpool BEKI wa kulia wa Uholanzi na klabu ya Bayer Leverkusen, Jeremie Frimpong, 24, yuko karibu kuhamia Liverpool kwa ada ya Pauni 29.5 milioni katika dirisha lijalo la usajili ikidaiwa kuwa tayari...
Cunha mambo freshi Manchester United MSHAMBULIAJI wa Wolvelvehamton Wolverhampton Wanderers na timu ya taifa ya Brazil, Matheus Cunha huenda akajiunga na Manchester United baada ya msimu huu kumalizika.
Antony kuzua vita kali La Liga bei yake hadharani MANCHESTER United imeripotiwa kwamba itahitaji ilipwe ada ya Pauni 32.52 milioni kwenye mauzo ya winga wa Kibrazili, Antony ili kwenda sawa na kanuni ya mapato na faida endelevu ya Ligi Kuu England.
Mgawo wa mkwanja kwa timu zote Europa League msimu huu NI rasmi, Tottenham Hotspur imefuta ukame wake wa mataji uliodumu kwa miaka 17 baada ya kuichapa Manchester United 1-0 kwenye fainali ya Europa League msimu huu na kubeba ubingwa.
Man Utd ikidoda... McTominay, Lukaku wabeba ubingwa Italia NDO hivyo. Mastaa walioonwa si kitu Manchester United, Scott McTominay na Romelu Lukaku wamenyakua taji la Serie A ndani ya wiki moja hiyo hiyo ambayo klabu yao ya zamani ilikumbwa na aibu ya...
Kisa Modric Madrid yamnyatia Mac Allister REAL Madrid ina mpango wa kutaka kumsajili kiungo wa Liverpool na timu ya taifa ya Argentina, Alexis Mac Allister ili akawe mrithi wa kiungo raia wa Croatia, Luka Modric, 39, ambaye ametangaza...
Machimbo sita ya straika Alexander Isak ALEXANDER Isak huenda akaanzisha vita kali baada ya kuiambia Newcastle United anataka kuhama.
Achraf Hakimi kalizua tena huko NYOTA wa PSG, Achraf Hakimi, anaripotiwa kukabiliwa na kesi ya ubakaji inayodaiwa kuwa aliifanya baada ya kumwalika mwanamke nyumbani kwake karibu na jijini la Paris.
CAF wakae chini kuangalia upya sheria ya usajili CHAN MOHAMED Bajaber wa timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars, amekosa sifa za kucheza fainali za CHAN mwaka huu kwa sababu amesaini kuitumikia Simba, timu ya nje ya nchi yake.