Asamoah Gyan amtaja bingwa AFCON 2025 Kuelekea fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), mwanasoka wa zamani wa timu ya Taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, ametaja nchi tatu ambazo anaamini huenda mojawapo ikatwaa ubingwa wa...
YAS, Korosho Marathoni kuwabeba wakulima MBIO za Korosho Marathoni 2025 zimefanyika wikiendi iliyopita, ikishuhudiwa Peter Gidoska na Cecilia Ginoka wakiibuka kidedea katika kilomita 21, huku kampuni ya Yas ikithibitisha kuendelea...
Msingi mkubwa wa soka ni kuwa na akademi SOKA ni moja ya michezo pendwa na unaokua kwa kasi nchini. Soka linapendwa tangu miaka ya zamani lilipoanzishwa na ukuaji wake umepitia hatua nyingi na kuzalisha nyota kibao na kutoa ajira kwa...
Man City ilivyonufaika kwa utata wa VAR Ligi Kuu England MANCHESTER City inabebwa? Swali gumu, lakini kwa namna ya mambo yaliyotokea kwa zaidi ya mara tatu majibu yake yanaweza kujibainisha bayana.
Taifa Stars yaichakaza Macau FIFA Series Baada ya kuiongoza Taifa Stars katika mechi tano zilizopita bila ya ushindi sawa na dakika 450, hatimaye kocha, Miguel Gamondi ameonja ushindi wake wa kwanza katika mechi ya kimataifa dhidi ya...
MBIO ZA NJIWA; Unalipa kiingilio ndiyo utazame burudani WAKATI baadhi ya jamii wakimwona ndege aina ya Njiwa kama kitoweo, wengine mapambo, sehemu nyingine mambo ni tofauti.
Bundi bado ainyemelea Chelsea CHELESEA inatarajiwa kukabiliana na adhabu zaidi kutoka mamlaka za soka za England kutokana na uchunguzi unaofanywa na chama cha Soka England (FA).
Garnacho akiri makosa yake, asisitiza hana kinyongo WINGA wa Chelsea, Alejandro Garnacho, amezungumza kwa mara pili kuhusu kuondoka kwake katika Manchester United akisema kuwa ingawa hatua hiyo ilimuumiza, lakini bado ana heshima na upendo mkubwa...
Mashabiki Man City waanza mbwembwe ACHANA na matokeo ya uwanjani Stanford Bridge, juzi, katika kichapo walichokipata wenyeji, Chelsea kutoka kwa Manchester City cha mabao 0-3, lakini kulikuwa na vaibu lingine nyuma lililoanzishwa...
Kompyuta yatoa msimamo EPL, Arsenal bado kidedea! SHUGHULI imeshakuwa nzito. Chelsea itakosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa mujibu wa utabiri wa kompyuta maalumu, ambayo imefichua Liverpool ndiyo itakayomaliza kwenye...