Kwa Arsenal Madrid ije tu MASHABIKI wa Arsenal wanaweza kuwa kwenye presha kubwa baada ya kufahamu kuna uwezekano wa kukwaruzana na Real Madrid kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya - lakini wala hawapaswi kuogopa.
Amorim: Man u tusajili? No Mabingwa hao mara 20 wa England walikosa wachezaji 12 wa kikosi cha kwanza katika mechi dhidi ya Tottenham Hotspur wikiendi iliyopita kutokana na kuwa majeruhi na wengine kuwa wagonjwa na kwenye...
ALLY KAMWE: Namshawishi Mayele arudi, 5-0 za Simba zilinitesa KUNA muda kwenye maisha unajiwekea mipango yako au kudhania sehemu fulani inawahusu watu wa aina tofauti na wewe kumbe haiko hivyo.
PRIME Makocha matajiri kwa kuwa na pato kubwa Ulaya SOKA limeandikisha idadi kubwa ya wachezaji na makocha wenye utajiri mkubwa katika kipindi cha muongo wa karibuni. Siku hizi, wachezaji na makocha kwenye mchezo huo, wanapiga pesa ndefu sana kwa...
Panga la Guardiola kumfyeka Grealish Man City STAA ghali kabisa kwenye Ligi Kuu England, Jack Grealish ametajwa ndiye mchezaji atakayeongoza kundi la mastaa wasiopungua wanane watakaofunguliwa mlango wa kutokea huko Manchester City.
Van Persie kupewa mikoba Feyenoord ROBIN van Persie amefikia makubaliano ya kuwa kocha mpya wa Feyenoord.
Hizi mechi za kutolea macho! WIKIENDI ya kibabe sana kwenye Ligi Kuu England. Shughuli pevu zaidi itakuwa huko Goodison Park, Villa Park na Etihad. Patamu hapo.
Hizi hapa Gemu za uwekezaji Ulaya MAMBO ni moto kwa vijana wawekezaji kwenye soka la Ulaya wikiendi hii, kutokana na kupigwa mechi matata kabisa katika mikikimikiki ya Ligi Kuu.
Ligi Kuu kuna vita ya wazee wa 6-1 KENGOLD bado inajitafuta baada ya kurejea katika duru la pili ikiwa imefanya usajili wa kibabe dirisha dogo la usajili lililofungwa katikati ya mwezi uliopita.
Darwin Nunez awekwa sokoni rasmi Liverpool STRAIKA wa Liverpool, Darwin Nunez inadaiwa ni mmoja wa wachezaji walipewa ruhusa ya kuondoka timu hiyo dirisha lijalo la majira ya kiangazi.