Galatasaray yajipanga kumsajili Lionel Messi NANI ambaye hataki aje kwenye timu yake? Nani huyo asiyemtaka Lionel Messi kwenye timu anayoshabikia? Messi atabaki kuwa Messi bila kujali wakati.
Timu Zetu Zijipange, Hakuna Mechi Rahisi CAF DROO ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu wa 2025/26 imetoa taswira wazi kwamba safari ya timu zetu za Tanzania haitakuwa rahisi hata kidogo.
Rooney amchana Salah, ampa ushauri Slot Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amemvaa nyota wa Liverpool, Mohamed Salah akisema mchango wake kwa sasa umekuwa mdogo wakati huu ambao timu hiyo inapitia kipindi kigumu.
Paul Scholes awakataa Caicedo, Rice, akomaa na Sandro Tonali Wiki iliyopita gwiji wa Manchester United, Paul Scholes alimsifu Sandro Tonali kama kiungo bora zaidi katika Ligi Kuu ya England kwa sasa, na kumpa nafasi ya juu zaidi kuliko Moisés Caicedo wa...
Lopez afunga hat trick, Rashford mbili Barca ikipiga mtu sita Fermin Lopez amefunga mabao matatu huku Marcus Rashford akiendeleza makali yake kwa kufunga mara mbili, akiifikisha jumla ya mabao manne katika mechi tatu za Ligi ya Mabingwa Ulaya, wakati...
Polisi wajitetea mashabiki Maccabi Tel Aviv kuzuiwa England Kamishna Mkuu wa Polisi wa West Midlands, amesema jeshi hilo halijashindwa kumlinda mtu yeyote akitetea uamuzi wa kuwapiga marufuku mashabiki wa Maccabi Tel Aviv kuhudhuria mechi ya Europa League...
Simanzi, kocha afariki kwenye mechi MASTAA wa timu moja ya soka huko Serbia hawakuwa na namna zaidi ya kuangua tu vilio na wengine wakilala kwenye nyasi za uwanja baada ya kupewa taarifa kocha wao amefariki dunia wakati mchezo wa...
Mikel Arteta awashusha presha mashabiki Arsenal ARSENAL, hakuna matata. Ndicho unachoweza kusema baada ya Kocha Mikel Arteta kuwa na kikosi matata kabisa licha ya mastaa wake kadhaa muhimu kuwa majeruhi.
Manchester derby... Wagonjwa Ni wengi! MAPUMZIKO ya mechi za kimataifa yanafika ukingoni na sasa mastaa wanarudi kujiunga na timu zao za klabu kwa ajili ya kuendelea na mchakamchaka wa ligi ikiwamo Ligi Kuu England.
Isak wa Liverpool ana balaa BAADA ya kuachiwa kwa video ya siku ya mshambuliaji mpya wa Liverpool, Alexander Isak, akifanya mazoezi na timu, mashabiki wengi wamekoshwa na kile ambacho staa huyo amekionyesha kiasi cha baadhi...