Kai Rooney aanzia alipoishia baba'ke KINDA wa Manchester United, Kai Rooney anatarajiwa kuanza kupokea hadi Pauni 3 milioni baada ya kusaini mkataba mpya na kampuni ya Triple S Sports Management wiki hii utakaomwongezea thamani...
Mwamuzi CAS asema Senegal ni mabingwa halali AFCON 2025 Aliyekuwa mwamuzi wa Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS), Raymond Hack, ameibuka na kauli nzito inayoweza kubadilisha mwelekeo wa mgogoro wa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025...
Sita watajwa kumrithi Slot Liverpool HALI siyo hali Anfield na Kocha Arne Slot amekalia kuti kavu huku baadhi ya majina yakitajwa kuja kurithi mikoba yake kwa kile kinachoelezwa wakati wowote anapigwa chini Liverpool.
TYSON FURY: Ngumi nzito, mkwanja mzito USIKU wa juzi Jumamosi, bondia raia wa England, Tyson Fury alipamba sana vichwa vya habari baada ya kumchapa mpinzani wake Arslanbek Makhmudov kutoka Urusi.
Neville: Huyu Carrick anampa somo Amorim GARY Neville anaamini kuwa kufufuka kwa Manchester United chini ya Michael Carrick kutamlazimisha Ruben Amorim kufanya mabadiliko atakaporejea tena kwenye ukocha.
Siku ya hukumu, Droo hatua ya 16 UEFA kufanyika leo MACHO na masikio yote leo yanageuzwa kule kwa jijini Nyon, Uswisi ambako droo ya hatua ya 16 ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya itakuwa inachezeshwa.
Kipa Singida BS atuma ujumbe baada ya kufutiwa tuhuma za upangaji matokeo MUDA mfupi baada ya Singida Black Stars kutangaza kumuondolea adhabu ya kumsimamisha kwa kipindi cha miezi mitatu kutokana na tuhuma za upangaji matokeo kipa wa kikosi hicho, Amas Obasogie...
Hugo Broos kuandika rekodi binafsi Bafana Bafana Kocha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini maarufu Bafana Bafana, Hugo Broos, anatarajiwa kuweka rekodi binafsi kwa kufikisha mechi 50 akiwa kocha wa timu hiyo, itakayocheza mechi ya kwanza ya...
Jake Paul, tajiri aliyebondwa na tajiri mwenzake WAKATI mwaka huu ukienda kumalizika moja kati ya matukio yaliyotokea Desemba hii ilikuwa ni pambano kati ya Jake Pual na Anthony Joshua lililofanyika kule Marekani.
Put awatuma kazi mastaa The Cranes KOCHA wa Uganda, Paul Put, amesema wachezaji wake lazima waachane haraka na masikitiko ya mwisho wa wiki na “kurekebisha hali ya kisaikolojia” kuelekea kwenye pambano muhimu la Kundi C dhidi ya...