Arsenal bado moja tu kutoboa UEFA, Jesus arejea baada ya siku 342 Noni Madueke amefunga mabao mawili wakati Arsenal ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Club Brugge na kuendeleza rekodi yao ya asilimia 100 katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, hatua ambayo imeiweka...
Kisa tukio la kuotea, mwamuzi Kenya ashushwa daraja Shirikisho la Soka nchini Kenya (FKF), limetangaza adhabu ilizochukua za makosa ya kinidhamu dhidi ya maofisa watatu kufuatia mapitio ya Kamati ya Waamuzi Taifa kuhusu Mechi ya Ligi Kuu ya Kenya...
ITRI: Gozi litakalotumika Morocco Afcon 2025 SHIRIKISHO la soka la Afrika (CAF) kwa kushirikiana na kampuni ya vifaa vya michezo, PUMA, imetambulisha mpira maalumu utakaotumika kwenye mashindano ya Afcon 2025 yatakayoanza baadaye mwezi huu...
Palmer majanga! Kuzikosa Barcelona, Arsenal baada ya kuvunjika kidole KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amekiri Cole Palmer amepata jeraha jingine jipya kabla ya safari ya Jumamosi kwenda Burnley katika mechi ya Ligi Kuu England (EPL).
The King is back! AUSTIN Reaves amecheeekaaa kuhusu LeBron James kuvunja rekodi kibao za Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), na hasa baada ya hivi karibuni kupatwa na majeraha. Na kilichonfanya acheke ni kuambiwa hata...
Kampeni ya Mixx Kombe la Dunia yashika kasi KAMPUNI ya Mixx imejivunia kuendelea kuongezeka kwa idadi ya wateja wake pamoja na matumizi ya huduma zake za kifedha kidijitali kufuatia mwitikio mkubwa wa Watanzania katika kampeni ya “Kila...
Wavuta nywele wapunguziwa adhabu EPL WAAMUZI wa Ligi Kuu England watabadilisha namna wanavyotafsiri matukio ya kuvuta nywele kuanzia msimu ujao wa 2026/27, baada ya wachezaji watatu kutolewa kwa kadi nyekundu kwa kosa hilo katika...
Mwamuzi wa kike Mmarekani kuandika rekodi Kombe la Dunia MWAMUZI wa kike kutoka Marekani, Tori Penso anatarajiwa kuandika rekodi baada ya leo Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kumteua kusimamia mechi ya pili ya kundi A Kombe la Dunia kati ya...
Messi kubeba Ballon d’Or ya tisa? LIONEL Messi mshindi mara nane wa tuzo ya mchezaji bora Ulaya (Ballon d’Or), lakini wakati michuano ya Kombe la Dunia 2026 ikiendelea, swali kubwa linalozungumzwa na mashabiki wa soka duniani ni...