Hongera Tanzania kwa rekodi CAF, tusilale Kwa mara ya kwanza katika historia ya soka la Tanzania Bara, timu zote nne zilizoiwakilisha nchi katika mashindano ya klabu ya Afrika zimefuzu hatua ya makundi.
Staa kasema... Huyu Ni Welbeck Mtupu! KWELI akutukanaye hakuchagulii tusi. Kuna gwiji mmoja wa Ligi Kuu England ameibuka na kudai straika Viktor Gyokeres yupo kwenye viwango sawa na Danny Welbeck na hastahili kuwekwa kwenye kundi la...
Yule kocha wa Yanga mambo yamemchachia LICHA ya rekodi tamu aliyoiandika akiwa na Yanga kwa kuipa mataji matatu kwa mpigo, ikiwamo kuifumua Simba kwa mabao 2-0 katika pambano la Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Juni 25 na kuwafanya vijana...
Shida ni hii, langoni Chelsea kuna shati WIKI kadhaa zilizopita, mchezaji wa zamani wa Liverpool na mchambuzi wa Sky Sports, Jamie Carragher, aliwakasirisha mashabiki wa Chelsea baada ya kusema kipa wao Robert Sanchez na mabeki wao wa...
Kwa hili Timu zijifunze, zisirudie kosa LIGI Kuu Bara ni kipimo kikubwa cha ubora wa soka letu na kioo cha jinsi klabu zetu zinavyopaswa kujiendesha.
Amorim anajua hili? Historia ya makocha Man United na vipigo vya Liverpool RUBEN Amorim anajua hii? Kama hajui iko hivi, chama lake la Manchester United linakwenda Anfield kuwakabili Liverpool, ambao ni maspeshalisti wa kufukuzisha makocha wa Old Trafford.
Amorim hana presha, yuko freshi tu! WAKATI wa mapumziko ya mechi za kimataifa, umesikia mengi kuhusu Manchester United.
Siri imefichuka! Matajiri Saudia wamshawishi Beckham dili la kuinunua Man United Gwiji wa Manchester United, David Beckham amependekezwa kushirikiana na kundi la mabilionea kutoka UAE (Falme za Kiarabu) ambao wanapanga kuwasilisha ofa ya kuinunua klabu ya klabu hiyo, kwa...
Sanaa ya Kibongo ni kunyonyana Na kama ni wasanii ambao wanajisimamia wenyewe utasikia wakilalamika kuhusu unyonyaji wanaofanyiwa na wanaoandaa matamasha.
Gary Neville amchana Milos Kerkez, afichua udhaifu wa Liverpool Gwiji wa soka nchini England, Gary Neville ametoa tathmini kuhusu mlinzi wa Liverpool, Milos Kerkez, baada ya kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Chelsea kwenye Uwanja wa Stamford Bridge jana...