Mashabiki Ureno waibua mjadala mzito, Ronaldo akitajwa MJADALA umeibuka. Mashabiki wa soka wanaamini timu ya taifa ya Ureno inakuwa bora zaidi inapocheza bila ya huduma ya supastaa Cristiano Ronaldo.
Mziki wa Man United unavyosukwa pale kati RUBEN Amorim anapambana kufumua safu ya kiungo ya kikosi cha Manchester United kuhakikisha kinakuwa bora kwa ajili ya kushindana na wababe wengine kwenye mchakamchaka wa mataji mbalimbali ikiwamo...
Jamie Carragher: Slot, piga chini Mo Salah STAA wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher amemwambia kocha wa miamba hiyo ya Anfield, Arne Slot anapaswa kumpiga chini Mohamed Salah endapo staa huyo wa Misri ataendelea kufanya hovyo uwanjani.
‘Pambano la utani’ Anton Joshua, Jake Paul ANTHONY Joshua anarejea ulingoni baada ya mapumziko ya miezi 15 kuzichapa na Jake Paul katika pambano litakalofanyika Desemba 19, mwaka huu mjini Miami, Marekani.
Uzi wa taifa lako Kombe la Dunia 2026 UJERUMANI itarudisha kumbukumbu ya nyuma kabisa kufuatia jezi itakazovaa kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya Adidas kutambulisha uzi wa nyumbani utakaotumiwa na mataifa 22 katika...
Hawa wachezaji bei zao usiguse! HABARI ndo hiyo. Kuna makinda 10 wa Ligi Kuu England katika orodha ya wanasoka wenye umri mdogo na wenye thamani kubwa kwenye soko la dunia kwa sasa.
Barca ijayo... Harry Kane, Rashford chama Moja HABARI ndo hiyo. Barcelona inafanya mpango wa kuhakikisha masupastaa wa England, Harry Kane na Marcus Rashford wanacheza pamoja kwenye fowadi yao msimu ujao.
Watatu Arsenal wajiondoa kambini UNAWEZA kusema ni gundu. Wakati Mikel Merino, Eberechi Eze, William Saliba, Gabriel Magalhaes, Leandro Trossard na Martin Odegaard wote wakiwa majeruhi, kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amepata...
Kauli ya Enzo Fernandez yaibua maswali Chelsea PILIKAPILIKA za usajili wa dirisha kubwa la wachezaji zimeshaanza kupamba moto huko Ulaya, ambako mastaa kibao wamekuwa wakihusishwa kubadili klabu, na wengine kulamba dili tamu msimu ujao. Na...