Kocha Msumbiji aitega Nigeria kiaina KOCHA mkuu wa Msumbiji, Chiquinho Conde, ameonyesha imani kubwa na uwezo wa timu yake kuelekea mechi ya hatua ya 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Nigeria, huku akikubali...
Carrick, Solskjaer kuunganisha nguvu Man United MANCHESTER United inafikiria kuwaajiri kwa pamoja Ole Gunnar Solskjaer na Michael Carrick kama makocha wa mpito.
Vita ya namba Jesus, Gyokeres Arsenal MASTRAIKA, Gabriel Jesus na Viktor Gyokeres wote waliandikisha majina yao kwenye orodha ya wafungaji katika ushindi wa Arsenal wa mabao 3-1 dhidi ya Inter Milan Jumanne usiku katika mikikimikiki...
Wenger: Arsenal? Inategemea kona tu ARSENE Wenger amekiri Arsenal inategemea sana mipira ya kona huku akibainisha mabeki wao walikuwa kwenye hofu na wasiwasi mkubwa wakati wa kipigo cha mabao 3-2 mbele ya Manchester United...
Kocha mpya Chelsea ataka njia za Ferguson KOCHA mpya wa Chelsea, Liam Rosenior amesema ni mkubwa sana licha ya baadhi ya watu kubeza kwamba timu ina watoto wengi.
Ten Hag amerudi nyumbani, akabidhiwa FC Twente KOCHA, Erik ten Hag amepata kazi mpya katika soka, miezi minne tu baada ya kufukuzwa huko Bayer Leverkusen.
Enzo Maresca, Chelsea lolote linaweza kutokea KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca yuko tayari kujiuzulu kuifundisha timu hiyo kufuatia mgogoro mkubwa uliotokea kati yake na bodi ya klabu hiyo.
Bifu la Scholes, Martinez limefikia patamu balaa KUMEKUCHA. Mvutano kati ya Paul Scholes na beki wa Manchester United, Lisandro Martinez hauonekani kumalizika hivi karibuni baada ya gwiji huyo wa Old Trafford kujibu kwa mzaha kupitia mitandao...
Jamie Carragher ataja kumi wenye uhakika England JAMIE Carragher amewaacha Cole Palmer na Phil Foden kwenye orodha yake ya wachezaji kumi wa "uhakika" wa timu ya taifa ya England kwa ajili ya fainali za Kombe la Dunia 2026.
Unai Emery afunguka kitu Aston Villa KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery kwa hasira amesema timu yake haina nafasi ya kumaliza ndani ya tano bora baada ya Thierno Barry kuisababishia kipigo kwenye mchezo wa Ligi Kuu England.