Balaa la Ulaya... Kuna mtu anapigwa NI leo kama sio kesho. Ni kuhusu vipute vya marudiano vya hatua ya nusu fainali kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, ambapo usiku wa Jumanne, Inter Milan itajimwaga kwenye uwanja wa nyumbani kukipiga...
Rodrygo achomoza usajili mpya Arsenal ARSENAL inakuwa ni timu ya hivi karibuni kuulizia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid, Rodrygo Silva de Goes ‘Rodrygo’ ili kumsajili dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Slot aambiwa anase watatu GWIJI wa Ligi Kuu England, Roy Keane amesema Liverpool inahitaji kufanya usajili wa wachezaji watatu kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi kama watahitaji kutetea ubingwa wao wa...
Mbappe macho kodo kwenye Pichichi SUPASTAA straika, Kylian Mbappe ameangusha rekodi moja baada ya nyingine kutokana na kasi yake ya kutikisa nyavu kwenye kikosi chake Real Madrid huko Hispania.
PRIME PUMZI YA MOTO: Simba na Mashujaa hazijawahi kutuangusha HEBU tumuweke pembeni kidogo Kefa Kayombo na msaidizi wake namba moja, Neema Wilson Mwambashi walioamua mechi ya Simba na Mashujaa, Mei 2, 2025
Kwa nini Europa League muhimu Man United, Spurs MANCHESTER United na Tottenham Hotspur zimeamua kuweka kando vita ya mapambano kwenye Ligi Kuu England na kuhamisha nguvu kwenye mchakamchaka wa kulisaka taji la Europa League.
Kompany, Kane waandika historia, Bayern ikitwaa ubingwa Bundesliga Bayern Munich wametangazwa kuwa Mabingwa wa Bundesliga msimu huu baada ya Bayern Leverkusen ambao walikuwa mabingwa watetezi kushindwa kupata matokeo mazuri dhidi ya Freiburg katika mchezo...
MAGUIRE: Kumbe jamaa ana mkwanja wa maana HARRY Maguire. Jina maarufu sana kwa mashabiki wa soka, hasa kwa wale wafuatiliaji wa Ligi Kuu England. Anafahamika vyema. Ni beki wa boli.
Unamtaka Alaba? Wahi kajibebee fasta REAL Madrid imeripotiwa kujiandaa kumpiga bei beki matata kabisa, David Alaba kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Arne Slot aanza kuwaza msimu mpya KOCHA wa Liverpool, Arne Slot anaamini kikosi chake kitakuwa na faida kubwa kwenye mchakamchaka wa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu England msimu ujao kutokana na wapinzani kuwa na mechi za ziada...