He! Arsenal hatarini kumaliza namba sita ARSENAL itamaliza msimu mikono mitupu, lakini baada ya kukomea kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia kipigo kutoka kwa Paris Saint Germain, kocha Mikel Arteta sasa atalazimika...
Ancelotti anatoka, Alonso anaingia MABOSI wa Real Madrid wanajiandaa kumtangaza kocha wa Bayer Leverkusen, Xabi Alonso kuwa bosi mpya wa Bernabeu.
Ni wikiendi yenye utamu wake Ulaya MAMBO iko kwenye mchakamchaka wa Ligi Kuu za Ulaya, huku kipute cha kibabe zaidi kitakuwa cha El Clasico Jumapili wakati Barcelona itakapokuwa nyumbani na Real Madrid kwenye La Liga.
Mo Salah mchezaji bora wa mwaka SUPASTAA wa Liverpool, Mohamed Salah amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari huko England baada ya staa huyo wa Misri kupigiwa kura zaidi ya asilimia 90.
Dortmund yajiweka kando kufukuzia saini ya Sancho BORUSSIA Dortmund haina nia ya kumsajili Jadon Sancho katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi, huku mustakabali wa mchezaji huyo wa kimataifa wa England ukiwa haueleweki.
EUROPA LEAGUE: Fainali ya kujuana! MAKOCHA wawili ambao kila mmoja anapambana na hali yake, Ruben Amorim na Ange Postecoglou wataonyeshana ubabe jino kwa jino katika fainali ya Europa League ambayo itakutanisha timu mbili za...
Usajili 2025/26, Arsenal ina jambo lake! ARSENAL imepanga kufanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi chake baada ya kuwa na mkwanja wa Pauni 150 milioni wa kutumia kwenye usajili wa dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi huku...
PRIME SIRI IMEFICHUKA! Hiki hapa kinachoipa jeuri Yanga kususia 'Dabi' Jumatatu, Mei 5 mwaka huu, kamati ya utendaji ya Yanga ilitoa tamko zito la kugomea kucheza mechi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu dhidi ya mtani wao wa jadi Simba ‘Kariakoo Dabi’ ambayo awali...
Man United imejipanga, yatenga Pauni 125 milioni NUSU fainali ya Europa League si umeona? Basi Manchester United imejipanga kwa mazuri zaidi kwenye kikosi hicho baada ya kutenga mkwanja wa Pauni 125 milioni kunasa huduma ya wakali wawili kwenye...
Arteta kasema... Arsenal ni bora MIKEL Arteta amedai kwamba Arsenal ilikuwa timu bora kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu na ilikuwa vizuri kuliko Paris Saint-Germain licha ya kutupwa nje ya michuano hiyo kwenye hatua ya...