Ronaldo atafuta timu Kombe la Dunia SUPASTAA Cristiano Ronaldo amethibitisha kwamba ataachana na Al Nassr kupitia posti yake kwenye mtandao wa kijamii.
Joshua, Wilder ngoma inapigwa BONDIA Deontay Wilder anaweza kupigana na Anthony Joshua ‘AJ’ ikidaiwa kwamba majadiliano yamefikia hatua nzuri ili wawili hao wazichape hivi karibuni.
Guardiola ang’aka kuhusu Grealish KOCHA, Pep Guardiola amempiga chini Jack Grealish kwenye kikosi chake kilichocheza mechi ya mwisho msimu huu, kisha akisema winga huyo Mwingereza anaweza kuondoka mwisho wa msimu.
Antonio Conte kuipiga kibuti Napoli KOCHA, Antonio Conte amepanga kuachana na Napoli kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi licha ya kuiongoza klabu hiyo kushinda taji la Serie A msimu huu, imeelezwa.
Ligi Kuu England ilivyoacha rekodi kali 2024/25. SUPASTAA wa Liverpool, Mohamed Salah ameweka rekodi tamu kwenye Ligi Kuu England msimu huu wa 2024/25 baada ya kunyakua tuzo ya Kiatu cha Dhahabu na ile ya Playmaker wa msimu baada ya kuongoza...
PRIME Tanzania na fainali mbili ndani ya miaka miwili LICHA ya maumivu makali ambayo wana Simba na Watanzania kwa ujumla waliyapata mwishoni mwa juma kwa kulikosa Kombe la Shirikisho la Afrika, lakini ni dalali njema kwa mpira wetu kwamba...
PRIME Fei Toto aingiza mabilionea vitani KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' ameendelea kushika vichwa vya mashabiki wa soka kutokana na tetesi za kuanza kuwindwa na klabu kadhaa kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano...
Al Hilal ya Sudan yabeba ubingwa Ligi Kuu Mauritania Timu ya Al Hilal ya Sudan chini ya kocha Florent Ibenge, iliyokuwa ilishiriki Ligi Kuu ya Mauritania imetwaa ubingwa ikiwa na michezo miwili mkononi
Garnacho, Napoli kuna kitu MKURUGENZIwa michezo wa Napoli, Giovanni Manna anatarajia kukutana na wawakilishi wa Manchester United kujadili uwezekano wa kuipata saini ya winga wa timu hiyo na Argentina, Alejandro Garnacho...
Wakali wa kufumania nyavu 2025 STRAIKA, Viktor Gyokeres alikuwa kinara wa mabao 2024, alipohitimisha mwaka huu akifunga mara 52.