Sheria ya pigo la penalti yaboreshwa Bodi ya Vyama vya Mpira wa Miguu Duniani (IFAB) imefanya maboresho ya sheria mbili za soka ambazo ni sheria namba 10 inayohusu kuamua matokeo ya mchezo na sheria namba 14 inayohusu pigo la penalti.
Hawa sio wageni kombe la dunia la klabu KATIKA mwendelezo wa kuzifuta siku zilizosalia kabla ya michuano ya Kombe la Dunia la Klabu kuanza Juni 15, nchini Marekani, mambo yameanza kunoga.
Waamuzi wenye kazi yao kombe la dunia la klabu KOMBE la Dunia la Klabu la Fifa 2025 lenye mfumo mpya linatarajiwa kufanyika nchini Marekani kuanzia Juni 15 hadi Julai 13, 2025.
Mchumba wa Diaz aaga Liverpool MCHUMBA wa Luiz Diaz ambaye ni mshambuliaji wa Liverpool, Gera Ponce amechapisha ujumbe wa hisia kwenda kwa mashabiki wa Liverpool ambao unahisiwa kuwa ni miongoni mwa nyota walio mbioni kuondoka.
Waarabu bado wanaitaka Man United INAELEZWA tajiri kutoka Qatar, Sheikh Jassim bado hajakata tamaa ya kuimiliki Manchester United licha ya kufeli 2023.
PRIME Nabi akomaa na Ahoua, kuhusu Fei Toto ipo hivi KOCHA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Nasredine Nabi ameondoka nchini na kumtimkia Ulaya kwa mapumziko, lakini hapa Tanzania alimuacha skauti wao mmoja maalum kwa ajili ya kuwaangalia viungo...
PRIME Mokwena, Yanga ngoma nzito YANGA inaendelea kupasua kichwa juu ya kocha gani imchukue kwa ajili ya kulijenga upya benchi la ufundi la msimu ujao, na sasa ni kwamba kuna uwezekano mkubwa ikapoteza chaguo jingine la tatu...
Aucho, Mukwala wachemsha Uganda KIUNGO nyota wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala wamechemsha huko Uganda baada ya kushindwa kubeba tuzo tuzo za mashabiki kwa wachezaji wanaocheza nje.
Partey atua anga za Barcelona BARCELONA imeanza mazungumzo na kiungo wa Arsenal na Ghana, Thomas Partey, 31, kuhusu uhamisho wa bure katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ambapo mkataba wake utamalizika.
Lionel Messi atatua huku HATIMA ya Lionel Messi katika soka baada ya kuondoka Inter Miami imeanza kufanyiwa kazi na wawakilishi wake, taarifa zikieleza mazungumzo kuhusu timu anayojiunga nayo yameshaanza.