Canelo awapiku Messi, LeBron ACHANA na masuala ya viwanjani pamoja na ulingoni, lakini mwaka 2025 ulikuwa na mtifuano mwingine wa namna ya wanamichezo bora duniani kutengeneza fedha na wengine kuongeza utajiri walionao.
Arsenal 'yamoto' EPL, Arteta asisitiza kupambana ARSENAL imeweka rekodi ya kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu England kwa tofauti ya pointi tisa kwa mara ya kwanza tangu ilipotwaa ubingwa wake wa mwisho mwaka 2004, lakini kocha wake Mikel...
Kocha Spurs haijawahi kutokea KOCHA wa Tottenham, Thomas Frank ndiye kocha mwenye rekodi mbaya zaidi katika historia ya Ligi Kuu England kwa zile timu sita kubwa.
Desabre: Tunafahamu DR Congo inadharauliwa, lakini tutapambana Kocha wa mkuu wa timu ya taifa ya DR Congo, Sébastien Desabre, amekiri kuwa kikosi chake kinachukuliwa kama washindikizaji kuelekea mechi ya fainali ya mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, dhidi...
Kisa kadi nyekundu ya Ronaldo, PFF kuwasilisha malalamiko FIFA Shirikisho la Mpira wa Miguu Ureno (PFF), limetoa taarifa ya kutokubaliana na adhabu aliyopewa nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa hilo, Cristiano Ronaldo, kutokana na tabia yake ya ukali...
Awilo, Fuse ODG jukwaa moja Tuzo za CAF 2025 Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limetangaza orodha ya wasanii watakaotumbuiza katika hafla ya utoaji Tuzo za CAF 2025, itakayofanyika kesho Jumatano, Novemba 19, 2025 katika Chuo Kikuu cha...
Mastraika wanne kumbadili Benjamin Sesko MAJERAHA ya straika Benjamin Sesko yanaiacha Manchester United njiapanda kwa wiki zijazo katika mchakamchaka wa kufanya vizuri kwenye mechi za Ligi Kuu England.
Jake kumrudisha ulingoni Anthony Joshua, kuzichapa Desemba 2025 Bondia wa England, Anthony Joshua anatarajia kupambana na Jake Paul kutoka Marekani katika pambano kubwa la uzani wa juu litakalofanyika mjini Miami mapema mwezi Desemba 2025.
Jude amtibua Thomas Tuchel, ampa makavu yake Kocha wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel amemtaka kiungo Jude Bellingham kuheshimu uamuzi wa benchi la ufundi, ili kuleta mazingira chanya ya ushirikiano ambayo yataendelea kuleta furaha...
Katibu Mkuu CAF akaa pembeni, mrithi wake atajwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika, Veron Mosengo-Omba ameng’atuka katika nafasi yake baada ya leo, Jumapili, Mei 29, kuanika hadharani uamuzi wake.