Utajiri alioacha Diogo Jota ni huu WIKI iliyopita dunia ya wapenda soka ilisikitishwa sana na taarifa za kifo cha mchezaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Ureno, Diogo Jota ambaye alifariki dunia katika ajali huko Zamora, Hispania.
Mastaa wapya hatihati Chelsea CHELSEA inaweza kupigwa marufuku kuwatumia Liam Delap, Joao Pedro na wachezaji wengine iliowasajili majira haya ya kiangazi katika Ligi ya Mabingwa msimu ujao.
Mataji ya Yanga yamchizisha Konde Boy STAA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Harmonize a.k.a Konde Boy, amefunguka kwamba ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho iliyotwaa Yanga msimu huu vimempa furaha kubwa kwani, kulikuwa...
Calvert-Lewin atua anga za kocha Man United MANCHESTER UNITED inafanya jaribio la kushangaza kumsajili mchezaji huru Dominic Calvert-Lewin ambaye msimu uliopita aliichezea Everton.
Christopher Nkunku aingia anga za Man United CHELSEA imeiambia Manchester United kwamba italazimika kulipa pauni 35 milioni iwapo inataka kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa, Christopher Nkunku, 27, katika dirisha hili la majira...
PRIME Walibya wampandia dau Aziz KI LILE dili la kiungo mshambuliaji Stephane Aziz KI pale Wydad Athletic limeingia mdudu baada ya kocha wa timu hiyo kutaka akatwe na akikatwa anarejea Yanga, lakini kuna jipya limeibuka juu ya...
Simba, Yanga zaongezewa noti Afrika KLABU zinazoshiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, zikiwamo Simba na Yanga za Tanzania Bara na Mlandege ya visiwani Zanzibar zimeongezewa neema baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...
Juventus yaja kivingine kwa Jadon Sancho JUVENTUS inaongeza juhudi kwa ajili ya kumsajili winga wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Jadon Sancho, mwenye umri wa miaka 25, na inaweza kumtoa mchezaji wake kiungo kutoka...
Sporting, Gyokeres mambo yazidi kuwa mabaya MABOSI wa Sporting Lisbon wana hofu kuwa staa wao anayewindwa na Arsenal, Viktor Gyokeres, ataendelea kushikilia msimamo wake wa kutojiunga na timu na hatohudhuria mazoezi leo, Jumatatu ikiwa ni...
Jux: Sijafilisika bado nadunda MWIMBAJI wa Bongo Fleva, Jux amekanusha madai ya kufilisika hadi kufunga duka lake la African Boy baada ya kufanya sherehe ya kifahari ya harusi yake mkewe Priscilla Ajoke Ojo.