Rashford aibua wasiwasi Barca SUPASTAA, Marcus Rashford huenda akashindwa kuichezea Barcelona hata baada ya kujiunga na miamba hiyo ya LaLiga.
Mashine ya mabao yatua Liverpool LIVERPOOL imemnasa staa wao wa Pauni 79 milioni, straika Hugo Ekitike ikinyakua saini yake kutoka kwenye klabu ya Eintracht Frankfurt.
Taifa Stars yawekewa Sh1 bilioni Chan 2024 KATIKA kuongeza hamasa ya kufanya vizuri kwenye Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars mezani wamewekewa kitita cha Sh1 bilioni...
Serikali yapiga marufuku jezi feki CHAN 2024 Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imewataka Watanzania kuhakikisha wanavaa jezi sahihi za timu ya taifa 'Taif Stars' katika kipindi chote cha Fainali za Mataifa ya Afrika kwa...
Msikie Arteta kuhusu EPL 2025/26 MIKEL Arteta anaamini kutakuwa na timu hadi nane zitakazochuana na Arsenal kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England msimu ujao na kusisitiza, patachimbika.
Arsenal ni vyuma tu ARSENAL bado inapambana kuboresha fowadi yake, ambapo kinachoelezwa ni kwamba kuna wachezaji watatu inawafukuzia kunasa saini zao kabla ya dirisha kufungwa.
Kisa Luis Diaz, Liverpool yakomaa na Rodrygo WINGA wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil, Rodrygo mwenye umri wa miaka 24, ni mmoja wa wachezaji ambao bado wanapigiwa hesabu na Liverpool kwa ajili ya kusajiliwa katika dirisha hili.
Hapa Amorim atawaua nyie MANCHESTER United imetua Marekani kwa ajili ya mazoezi ya pre-season huku kikosi hicho kikiwa kimefanyiwa maboresho nusu, hakijakamilika kwa asilimia 100.
Wissa njiani Kaondoka Brentford STAA wa Brentford, Yoane Wissa ameondoka kwenye kambi ya mazoezi ya timu hiyo ya pre-season wakati huu akiwa hafahamu hatima ya maisha yake ya baadaye.
Romain Folz rasmi atambulishwa Yanga Klabu ya Yanga imemtambulisha Romain Folz kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026.