Rayvanny kutumbuiza ufunguzi wa CHAN, 2024 Kwa Mkapa Mwanamuziki wa Bongo Fleva Rayvanny (Raymond Mwakyusa) anatarajiwa kutumbuiza kwenye hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), inayotarajiwa...
Man United yampigia hesabu kali Kolo Muani MANCHESTER United imeingia katika mchakato wa kutaka kumsajili mshambuliaji wa Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Ufaransa, Randal Kolo Muani, mwenye umri wa miaka 26, ambaye anawindwa na...
Klabu zilizotumia mkwanja mrefu kusajili dirisha moja MABINGWA wa Ligi Kuu England, Liverpool wanakaribia kuweka rekodi ya kuwa timu iliyofanya matumizi makubwa kwenye dirisha la usajili, orodha ambayo kwa sasa imetawaliwa na Chelsea na Real Madrid.
Mbeumo bado anapikwa huko STAA mpya wa Manchester United, Bryan Mbeumo atalazimika kungoja kidogo kabla ya kucheza mechi yake ya kwanza kwa waajiri wake hao wapya.
Siri ya dili la Gyokeres Arsenal STRAIKA, Viktor Gyokeres amefunguka anadhani Arsenal ni klabu mwafaka kwake kuwa hapo na kuwaahidi kuwapa mashabiki wa timu hiyo kitu cha kushangilia msimu huu.
PRIME Usajili wa Fei Toto… Zilongwa mbali, zitendwa mbali ZILONGWA mbali zitendwa mbali ni msemo wa Kizaramo wenye maana ya 'maneno mbali na vitendo mbali' yaani yanayosemwa ni tofauti kabisa na yanayofanyika. Hivi ndivyo ilivyo kwenye suala la...
JET LI: Baada ya msoto, sasa anakula maisha WAIGIZAJI wengi wana stori zao tofauti juu ya kule walikotokea. Li Lianjie ambaye jina lake maarufu ni Jet Li ni miongoni mwa waliotokea katika mazingira magumu akizaliwa na wazazi waliokuwa na...
Amorim ataka kumrudisha Sancho, Garnacho KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amethibitisha kuwa yuko tayari kuwarudisha wachezaji waliopewa ruhusa ya kuondoka katika dirisha ikiwa itashindikana kuuzwa katika dirisha hili la majira...
Kocha Newcastle United atoa mpya dili la Isak KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe amekiri kuwa timu hiyo inapaswa kufanya uamuzi juu ya mustakabali wa staa wao Alexander Isak ambaye ameweka wazi kuwa anataka kuondoka katika dirisha hili.
Donnarumma mbioni kusepa, PSG yasaka mtu INAELEZWA Manchester United na Manchester City zote zinavutiwa na kipa wa Paris St-Germain na timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, mwenye umri wa miaka 26.