Sancho akubali sharti zito ili atue Borussia Dortmund JADON Sancho, ambaye ameachwa nje ya kikosi cha Manchester United ambacho kinaendelea na maandalizi ya msimu mpya, yuko tayari kukubali kupunguziwa mshahara kwa asilimia 50 ili kurejea Borussia...
Sikia hii ya Xavi Simons STAA anayesakwa na Chelsea, Xavi Simons amefuta maneno yote yanayotaja RB Leipzig kwenye wasifu wake wa kurasa zake za mtandaoni.
PRIME Célestin Ecua atuma salamu nzito , makocha na kila mtu ambaye aliniamini hata nilipokuwa katika wakati mgumu. Bila wao, hatua hii muhimu katika kazi yangu isingewezekana. “Pia ninamshukuru Mungu, chanzo cha neema yote, kwa baraka...
Dili la Chelsea kwa Xavi Simons laingia ugumu, ipo hivi JARIBIO la Chelsea kumsajili mshambuliaji wa RB Leipzig raia wa Uholanzi, Xavi Simons, mwenye umri miaka 22, limekwama baada klabu ya mchezaji kusisitiza kwamba inahitaji pesa ili kumuuza.
Son atoa chozi akiaga Spurs STAA na nahodha wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min ameshindwa kuvumilia na kumwaga chozi wakati anatangaza kuachana na miamba hiyo ya London.
Ofa ya Liverpool yapigwa chini St James’ Park HABARI ndo hiyo. Newcastle United imekataa ofa ya kwanza ya Liverpool kwa ajili ya mshambuliaji wao Alexander Isak.
Mikal Bridges alivyopiga dili la mabilioni Knicks TIMU ya kikapu ya New York Knicks imefanikiwa kumsaini mmoja wa wachezaji wake muhimu, Mikal Bridges, kwa kumuomngeza mkataba wa miaka minne wenye thamani ya Dola 150 milioni (takriban Sh390...
Amorim ataka Sesko, Hojlund wacheze wote KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amebainisha kuwa na mpango wake ambao utawahusisha Benjamin Sesko na Rasmus Hojlund.
Liverpool kumechangamka, Wirtz akabidhiwa yake LIVERPOOL iko moto, ikitambulisha jezi mpya wa msimu wa 2025-26, zitakazovaliwa na majembe yao ya maana huku kiungo wao ghali, Florian Wirtz akikabidhiwa Namba 7, iliyokuwa ikivaliwa na Luis...
Haaland akumbuka kesi ya Man City STRAIKA Erling Haaland anaamini Manchester City haitakumbana na adhabu yoyote kwenye mashtaka yanayoikabili ya kukiuka kanuni za mapato na matumizi kwenye kikosi hicho cha Etihad.