Rashford mambo bado La Liga MARCUS Rashford amefunga bao lake la kwanza Barcelona huku kikosi hicho kikipambana kwa nguvu zote kuhakikisha inamwandikisha Mwingereza huyo ili kuwa na kibali cha kucheza kwenye La Liga.
Shearer: Isak? Kama vipi aende GWIJI wa Newcastle United, Alan Shearer ameonyesha hasira zake juu ya mpango wa Liverpool kumsajili Alexander Isak baada ya kuchati kwenye grupu la WhatsApp ambalo yupo pia Gary Lineker.
Isak katikati ya dili za usajili zilizokuwa gumzo Ulaya STRAIKA, Alexander Isak ameripotiwa kurejea Newcastle kwenda kuzungumza na mabosi wa Newcastle United juu ya hatima yake kwenye dirisha hili la usajili.
Gusa vyuma hivi upigwe pesa ndefu LONDON, ENGLAND: NANI utakubali kutoa mkwanja mrefu kunasa saini yake? Kati ya Bukayo Saka na Lamine Yamal, Kylian Mbappe na Erling Haaland, wapi utakubali kuvunja benki ili kunasa huduma...
Bruno Fernandes ataka usajili mpya KIUNGO mbunifu wa Manchester United, Bruno Fernandes amesema timu hiyo inapaswa kufanya usajili wa mastaa wengine zaidi kabla ya msimu mpya kuanza.
Bosi Spurs aibukia kesi ya Man city MWENYEKITI wa klabu ya Tottenham Hotspur, Daniel Levy amesema uchunguzi wa madai ya Manchester City kufanya udanganyifu kwenye matumizi ya pesa kwenye usajili unachukua muda mrefu sana.
PRIME Beki Yanga amlilia Jonathan Sowah MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Jonathan Sowah ameshaanza mazoezi akiwa na kikosi cha timu hiyo kilichopo Misri, lakini kuna beki mmoja aliyewahi kukipiga Yanga ameshtushwa na kuumizwa juu ya...
PRIME Simba yapanda dau kwa Yacoub MABOSI wa JKT Tanzania wamedaiwa kuweka ngumu kumruhusu kipa wa timu hiyo, Yakoub Suleiman kujiunga na Simba iliyopiga kambi Misri ikijiandaa na msimu mpya wa 2025-2026, hivyo kuwafanya wenzao...
PRIME Staa huyu amchomoa Ikanga Speed Yanga YULE bundi bado anaendelea kulia kwenye mkataba wa winga Mkongomani wa Yanga, Jonathan Ikangalombo na wakati wowote anaweza kupewa mkono wa kwaheri. Iko hivi. Ikangalombo hatma yake ndani...
Thoms Partey ana dili mezani ALIYEKUWA kiungo wa Arsenal, Thomas Partey yupo kwenye hatua za mwisho kabisa za kukamilisha dili lake la kujiunga na Villarreal, imeelezwa.