Sancho kufanywa chambo kwa Baleba WINGA Jadon Sancho huenda akatumika kama sehemu ya ofa ya Manchester United katika mchakato wao wa kuwashawishi Brighton ili kumnasa kiungo wa boli, Carlos Baleba.
Kipa Donnarumma awaibua mashabiki MASHABIKI wa soka wameishambulia Paris Saint-Germain wakidai wamefanya uhalifu mkubwa kwa kumpiga chini kipa Gianluigi Donnarumma na kumpanga Lucas Chevalier ambaye alifanya makosa ya kizembe...
Soko la mdaka mishale! KIPA wa boli, Gianluigi Donnarumma ameziweka klabu za Ligi Kuu England kwenye hatari ya kuanzisha vita kali baada ya kutangaza anaachana na Paris Saint-Germain.
Mikah afuta ubingwa Man City kisa Rodri BEKI wa zamani wa Manchester City, Micah Richards ameifuta timu hiyo kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu kwasababu kiungo Rodri atakuwa nje ya uwanja hadi Oktoba.
Mshahara wa Sesko, Gyokeres wajadiliwa STRAIKA, Benjamin Sesko analipwa mshahara kiduchu kwenye Ligi Kuu England kuliko anavyolipwa mpachika mabao mwenzake mpya katika ligi hiyo, Viktor Gyokeres baada ya kugomea ofa za kwenda kujiunga...
Skauti West Ham akodolea macho CHAN MASHINDANO ya CHAN 2024 yanaendelea kuwavuta wadau mbalimbali wa soka wakiwemo maskauti kutoka kila pembe ya dunia kwa ajili ya kutazama vipaji vya ndani katika Ukanda wa Afrika Mashariki.
Tanzania, Nigeria zaweka rekodi Chan 2024 REKODI ni rekodi tu, haijalishi nzuri au mbaya. Unaweza kusema hivyo kufuatia kilichotokea kwa timu ya Taifa ya Tanzania maarufu Taifa Stars na ile ya Nigeria ijulikanayo kwa jina la Super Eagles.
Brighton haitishwi Carlos Baleba kuondoka BOSI wa Brighton, Fabian Hurzeler hana hofu ya kuwapoteza mastaa wao kwa sababu ana uhakika wa kutafuta suluhu ya timu kuendelea kufanya vizuri baada ya kuuza wachezaji wao nyota.
Upamecano agomea mkataba mpya aibukia rada za mabosi Old Trafford MANCHESTER United imeripotiwa kutaka kufanya usajili wa kushtukiza wa kumnasa beki wa kati wa Bayern Munich, Dayot Upamecano kabla ya dirisha halijafungwa.
Neville ataka kipa mpya Man United GARY Neville amesema anaamini Manchester United ina ulazima wa kusajili kipa mpya kama inataka kumaliza ndani ya Top Six kwenye Ligi Kuu England msimu huu.