Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8115 results for Mwandishi Wetu :

  1. Sancho kufanywa chambo kwa Baleba

    WINGA Jadon Sancho huenda akatumika kama sehemu ya ofa ya Manchester United katika mchakato wao wa kuwashawishi Brighton ili kumnasa kiungo wa boli, Carlos Baleba.

    SANCHO Pict
  2. Kipa Donnarumma awaibua mashabiki

    MASHABIKI wa soka wameishambulia Paris Saint-Germain wakidai wamefanya uhalifu mkubwa kwa kumpiga chini kipa Gianluigi Donnarumma na kumpanga Lucas Chevalier ambaye alifanya makosa ya kizembe...

    KIPA Pict
  3. Soko la mdaka mishale!

    KIPA wa boli, Gianluigi Donnarumma ameziweka klabu za Ligi Kuu England kwenye hatari ya kuanzisha vita kali baada ya kutangaza anaachana na Paris Saint-Germain.

    MISHALE Pict
  4. Mikah afuta ubingwa Man City kisa Rodri

    BEKI wa zamani wa Manchester City, Micah Richards ameifuta timu hiyo kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu kwasababu kiungo Rodri atakuwa nje ya uwanja hadi Oktoba.

    MIKAH Pict
  5. Mshahara wa Sesko, Gyokeres wajadiliwa

    STRAIKA, Benjamin Sesko analipwa mshahara kiduchu kwenye Ligi Kuu England kuliko anavyolipwa mpachika mabao mwenzake mpya katika ligi hiyo, Viktor Gyokeres baada ya kugomea ofa za kwenda kujiunga...

    MSHAHARA Pict
  6. Skauti West Ham akodolea macho CHAN

    MASHINDANO ya CHAN 2024 yanaendelea kuwavuta wadau mbalimbali wa soka wakiwemo maskauti kutoka kila pembe ya dunia kwa ajili ya kutazama vipaji vya ndani katika Ukanda wa Afrika Mashariki.

    SKAUTI Pict
  7. Tanzania, Nigeria zaweka rekodi Chan 2024

    REKODI ni rekodi tu, haijalishi nzuri au mbaya. Unaweza kusema hivyo kufuatia kilichotokea kwa timu ya Taifa ya Tanzania maarufu Taifa Stars na ile ya Nigeria ijulikanayo kwa jina la Super Eagles.

    REKODI Pict
  8. Brighton haitishwi Carlos Baleba kuondoka

    BOSI wa Brighton, Fabian Hurzeler hana hofu ya kuwapoteza mastaa wao kwa sababu ana uhakika wa kutafuta suluhu ya timu kuendelea kufanya vizuri baada ya kuuza wachezaji wao nyota.

    BALEBA Pict
  9. Upamecano agomea mkataba mpya aibukia rada za mabosi Old Trafford

    MANCHESTER United imeripotiwa kutaka kufanya usajili wa kushtukiza wa kumnasa beki wa kati wa Bayern Munich, Dayot Upamecano kabla ya dirisha halijafungwa.

    TETESI Pict
  10. Neville ataka kipa mpya Man United

    GARY Neville amesema anaamini Manchester United ina ulazima wa kusajili kipa mpya kama inataka kumaliza ndani ya Top Six kwenye Ligi Kuu England msimu huu.

    GARRY Pict
Previous

Page 377 of 812

Next