PRIME Siri nyuma ya Fei kusaini dili jipya Azam JUMANNE ya Agosti 12, 2025, nyota wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' alisaini mkataba wa nyongeza wa mwaka mmoja utakaomfanya asalie Chamazi hadi 2027. Ilikuwa ghafla sana kwa uongozi wa Azam...
Uwanja wa Old Trafford unavyoikataa Man United UWANJA wa Old Trafford unaojulikana pia kama ‘Theatre of Dreams’ kwa muda mrefu ulikuwa ngome ya kutisha chini ya utawala wa kocha Sir Alex Ferguson.
Kisa semenyo, mmoja akamatwa POLISI katika Jiji la Liverpool, wamethibitisha mwanamume mmoja amekamatwa baada ya Antoine Semenyo kuripoti ubaguzi aliokutana nao wakati timu yake ikicheza dhidi ya Liverpool, kwenye dimba la...
De Gea anarudi Old Trafford NDIYO hivyo. Taarifa zinasema mawasiliano ya siri yameanza baina ya mabosi wa Manchester United na David de Gea tangu timu hiyo ilipocheza na Fiorentina mchezo wa kirafiki kwenye Uwanja wa Old...
Man United yaanza EPL kwa kipigo nyumbani Bao la dakika ya 13 kupitia kwa Riccardo Calafiori, lilitosha kuizima Man United katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya Arsenal.
Azam kutesti mitambo ya CAF mapemaa KIKOSI cha Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC kipo Kigali, Rwanda kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026 na kuanzia Jumanne ijayo...
Dili la Jadon Sancho kutua AS Roma lafikia patamu MANCHESTER United ipo tayari kukubali ofa ya AS Roma ya kuwauzia staa wao Jadon Sancho mwenye umri wa miaka 25 kwa mkopo wenye sharti la kumnunua moja kwa moja mwishoni mwa msimu.
Kisa mechi ya ufunguzi, Shearer amvaa Alexander Isak LEJENDI wa Newcastle United, Alan Shearer amemkosoa straika wa timu hiyo, Alexander Isak baada ya kushindwa kucheza mechi ya ufunguzi wa Newcastle Ligi Kuu England dhidi ya Aston Villa ikiwa ni...
Rundo la wachezaji lamchosha Pep Guardiola KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola alikiri idadi kubwa ya wachezaji katika kikosi chake siyo salama kwa morali ya timu na kudai baadhi ya wachezaji wataondoka kabla ya dirisha hili kufungwa.
Kilimanjaro ya Sweden yatwaa ubingwa wa bonanza Ubelgiji TIMU ya soka ya Watanzania, Kilimanjaro iliyopo Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa Kombe la Bonanza la Serengeti katika michuano iliyofanyika kati ya Agosti 15-16 jijini...