Ziyech wa Chelsea asaini mmoja Wydad, kukipiga na Aziz KI Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech amefikia makubaliano ya kujiunga na Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Sio Yanga tu hata Azam v KMKM ni buree Klabu ya Azam FC imetangaza kuwa mchezo wa marudiano dhidi ya KMKM kombe la Shirikisho utakaopigwa Oktoba 24, 2025 kwenye uwanja wa Azam Complex hauna kiingilio.
Modest kaziachia klabu zetu maswali mazito JANA ulimwengu wa soka Tanzania ulimpoteza mmoja wa wachezaji wake mahiri wa zamani, Alphonce Modest, beki wa zamani wa Pamba, Simba na Yanga aliyefariki dunia mjini Kigoma baada ya kuugua kwa...
Mayele, Kapombe kwenye vita yao CAF Fiston Mayele na Shomari Kapombe hawajakutana uwanjani tangu Mayele alipojiunga na Pyramids FC ya Misri mwaka 2023 akitokea Yanga.
Chebet ajiondoa mashindano ya Mbio za Nyika Mshindi wa medali ya dhahabu mara kadhaa katika mashindano ya dunia ya mbio za nyika, Beatrice Chebet, hatashiriki Mashindano ya Taifa ya Mbio za Nyika yatakayofanyika Jumamosi Oktoba 25, 2025...
Orlando Pirates yasaka rekodi mpya Afrika HAKUNA klabu yoyote ya Afrika Kusini iliyowahi kupindua matokeo ya kufungwa mabao 3-0 katika mechi ya kwanza ya hatua ya mtoano kwenye mashindano ya klabu za Afrika.
Simba yaingia 10 bora tuzo za CAF 2025, Pyramids, Berkane ndani Simba katika msimu wa 2024/2025 ilifika hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Simba, Mtibwa, TFF zamlilia Alphonce Modest Kufuatia kifo cha staa wa zamani wa Simba na Yanga, Alphonce Modest kilichotokea jana Jumanne Oktoba 21, 2025 akiwa nyumbani kwao Kigoma, wadau mbalimbali wa soka wamemlilia zikiwemo klabu...
PSV yailaza Napoli kwa mabao 6-2 PSV Eindhoven imepindua matokeo kwa kishindo na kuishangaza Napoli iliyomaliza ikiwa na wachezaji 10, kwa ushindi wa mabao 6-2 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyochezw usiku wa Oktoba...