Mastraika 20 wanaolipwa kibosi England LIGI Kuu England ni moja ya ligi tajiri za mchezo wa soka duniani na kuvutia wanasoka wengi matata kabisa katika mchezo huo.
Gyokeres ashinda tuzo ya ubora Ureno STRAIKA mpya wa Arsenal, Viktor Gyokeres ameishukuru Sporting CP kwa kile alichofanya msimu uliopita licha ya miamba hiyo ya Ureno kumpiga faini ya Pauni 306,000 kutokana na kufanya mgomo wa kuhama.
Ulaya pamotoo! Juve na Inter, Barca, Madrid Bayern mzigoni MAPUMZIKO ya mechi za kimataifa yamekwisha na sasa shughuli imerejea kwenye Ligi Kuu za Ulaya na vikosi vya ligi bora vya huko Hispania, Ujerumani, Italia na Ufaransa vitaingia uwanjani...
Umewahi kuisikia vita ya masikio? INAWEZEKANA umeshuhudia michezo mingi duniani, lakini kuna baadhi ina upekee kutokana na namna inavyochezwa.
Mnada mtandaoni wawapa vicheko Watanzania Wakati teknolojia ikizidi kukua, Watanzania wanaendelea kunufaika nayo kwa kutumia mitandao wakiuza na kununua bidhaa zao na kuvuna pesa na zawadi nyingine. Hili limedhihirika baada ya washindi...
Delap atibua hesabu Chelsea STRAIKA Liam Delap atakuwa nje ya uwanja kwa wiki 10 hadi 12 baada ya kupatwa na maumivu ya misuli ya paj
Vigogo wa Liverpool wampigia hesabu Olise LIVERPOOL imepanga kutumia takriban Pauni 80 milioni kwa ajili ya kumsajili winga wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Michael Olise katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Ukweli wa dili la Wirtz Liverpool KIUNGO Florian Wirtz ametua Liverpool kwa ada iliyovunja rekodi ya uhamisho huko England ya Pauni 116 milioni, Juni mwaka huu.
Onana apokewa kwa shangwe Uturuki Kipa, Andre Onana ataongeza mshahara wake mara mbili huko Trabzonspor baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo wa msimu mzima na kuyapa kisogo maisha magumu Manchester United.
Mkataba unamsubiri Silva Benfica MGOMBEA urais wa Benfica, Joao Noronha Lopes, ameweka wazi mpango wake mkubwa wa kumrejesha Bernardo Silva katika klabu yake ya utotoni akitokea Manchester City.