Arsenal wana jambo lao... Acha wapinzani waone wivu! KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amekusanya safu matata ya ushambuliaji inayofanya wapinzani wao kwenye Ligi Kuu England waone wivu, wakitamani wachezaji hao wawepo kwenye vikosi vyao.
Halaand awajia juu wenzake kambini STRAIKA, Erling Haaland amewajia juu wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuanza vibaya msimu wa Ligi Kuu England 2025/26 na kuwataka kukazama msuli dhidi ya Manchester United, leo...
Arteta aogopa mziki wa Slot KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema Liverpool imesajili kikosi bora kabisa ikitumia zaidi ya Pauni 400 milioni kwenye dirisha la usajili la majira ya kiangazi mwaka huu na kusema mbio za...
Nyota anayetajwa kuwa na thamani kubwa NBA KATIKA mpira wa kikapu, hadhi na thamani ya mchezaji haipimwi kwa pointi anazofunga na uwezo wa kuzuia tu, bali kwa ukubwa wa mkataba, ushawishi wa kibiashara na mapato anayokusanya nje ya mchezo.
Man City, Man United nyota kibao wamesepa MANCHESTER City na Manchester United zitamenyana jino kwa jino Jumapili katika mechi ya 197 ya Manchester Derby.
Nani Bruno? Wala hawasikii KIUNGO fundi wa boli, Bruno Fernandes ataiongoza Manchester United, Jumapili hii kwenye kipute cha Manchester derby na kusema tena kwa msisitizo, hawezi kubadili staili yake ya uchezaji licha ya...
Vigogo wapambana Grealish asalie mazima Everton EVERTON inatamani kumsainisha mkataba wa moja kwa moja staa wa Manchester City anayecheza kwa mkopo katika timu yao, Jack Grealish ifikapo mwisho wa msimu huu.
Jesus, Raiane mfano wa upendo ulioshinda visa KATIKA ulimwengu wa soka baadhi ya hadithi za nje ya uwanja hujulikana - moja ya hadithi hizo ni ile ya mshambuliaji wa Arsenal kutoka Brazil, Gabriel Jesus, 28, na mchumba wake Raiane Lima, 24...
Chelsea, Liverpool zamgombea mtoto wa Robinho LIVERPOOL na Chelsea zimeripotiwa kuchuana jino kwa jino kwenye mchakamchaka wa kusaka huduma ya Robinho Jnr, 17 ambaye ni mtoto wa staa wa zamani wa Brazil, Robinho.
Man City, Man United… Utamu upo huku! MCHAKAMCHAKA wa Ligi Kuu England unarudi wikiendi hii, lakini macho ya wengi yatakuwa huko Etihad, wakati Manchester City itakapokwaana na mahasimu wao Manchester United kwenye kipute cha...