Mabingwa Ulaya utamu kunoga MCHAKAMCHAKA wa Ligi ya Mabingwa Ulaya unarudi upya wiki hii, wakati miamba ya soka itakapotupa kete zao za kwanza katika msako wao wa ubingwa wa mikikimikiki hiyo.
Takwimu zinavyomuadhibu Ruben Amorim! TAKWIMU za kocha wa Manchester United, Ruben Amorim zinafichua kwamba ndiye wa hovyo kuwahi kutokea kwenye Ligi Kuu England.
Iwe dabi ya heshima, soka na ubora LEO ndio mwanzo wa msimu wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuwa na mvuto wa kipekee kwa wapenzi wa soka nchini.
Simbu aandika historia Tokyo, atwaa dhahabu ya Mbio za Dunia MWANARIADHA nyota wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu ameweka rekodi na historia ya kuwa Mtanzania wa kwanza kutwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya dunia ya riadha 2025 yaliyofanyika...
Namna Man Utd inavyomuaibisha Sir Alex Ferguson KILA inapokuja mechi ya Manchester United na Manchester City kipande fulani cha video huzunguka mitandaoni kikimuonyesha kocha wa zamani wa United, Sir Alex Ferguson akiwa jukwaani akitazama moja...
Dumfries azichanganya Man United, Man City MANCHESTER United ipo tayari kushindana na Manchester City kwa ajili ya kumsajili beki wa kulia wa Inter Milan, Denzel Dumfries, mwenye umri wa miaka 29, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Maresca alazimisha Joao Pedro kucheza KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amefichua amemwanzisha mchezaji Joao Pedro dhidi ya Brentford kwa lazima licha ya mchezaji huyo kuomba asianze katika mechi hiyo.
Bega la Odegaard lashtua Arsenal KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta anakuna kichwa kutokana na kiungo na nahodha wake, Martin Odegaard kuwa na rekodi za kuumiaumia kwa siku za karibuni.
Tuzo za TFF zitolewe mapema baada ya msimu Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 unakaribia kuanza rasmi huku mashabiki, wadau wa soka na wanamichezo kwa ujumla wakisubiri kwa hamu kuona kile ambacho klabu zao zitakifanya.