Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8545 results for Mwandishi Wetu :

  1. Kilimanjaro FF yashika nafasi ya tatu Ligi Daraja la Sita Sweden

    TIMU ya Kilimanjaro FF inayomilikiwa na kuendeshwa na Watanzania waishio nchini Sweden, imeshika nafasi ya tatu katika Ligi ya Daraja la Sita kwenye Jiji la Stockholm katika msimu wa 2024-2025...

    KILIMANJARO Pict
  2. Ruben Amorim: Sikuwa na hofu ya kufukuzwa kazi

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesisitiza hajawahi kuwa na hofu juu ya kufukuzwa kazi na tajiri na mmiliki wa timu hiyo, Sir Jim Ratcliffe na presha za kuondolewa kwake zilitoka kwa...

    AMORIM Pict
  3. Kocha Manchester City hataki Haaland apumzike

    KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amekiri anaumia sana kuona straika wake Erling Haaland akicheza mechi nyingi mfululizo, lakini hawezi kumpumzisha kwa sasa.

    PEP Pict
  4. De Paul: Tuna deni la kulipa kwa Lionel Messi

    Kiungo wa Inter Miami, Rodrigo De Paul, amekiri kuwa hatua ya Lionel Messi kukubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo, imewapa hamasa wachezaji wengine klabuni hapo ili...

    MESSI Pict
  5. John Terry aiondoa Chelsea kwenye mbio za ubingwa England

    Nguli wa Chelsea, John Terry anaamini ukosefu wa uzoefu ndani ya kikosi cha sasa cha klabu hiyo huenda ikawa kikwazo kwa The Blues kuwa sehemu ya timu zitakazowania ubingwa wa Ligi ya EPL msimu...

    TERRY Pict
  6. Rais Barcelona ashtukia jambo, atupa kombora Real Madrid

    Rais wa Barcelona, Joan Laporta, ameishambulia klabu ya Real Madrid kwa madai ya kujaribu kuwatuhumu marefa kabla ya mechi ya El Clásico itakayopigwa leo Jumapili, Oktoba 26, 2025.

    BARCA Pict
  7. Safu ya ulinzi Liverpool yamchefua Alejandro Moreno

    Mchambuzi Alejandro Moreno, ametoa tathmini kali kuhusu mchezo wa Liverpool kufuatia kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Brentford, akimlenga Milos Kerkez kwa kukosa ushirikiano na beki mwenzake...

    LIVERPOOL Pict
  8. Chelsea yapigwa nyumbani

    SUNDERLAND imeiduwaza Chelsea uwanjani kwao Stamford Bridge baada ya kuichapa mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika Jumamosi.

    CHELSEA Pict
  9. Orlando Pirates yapindua meza,  yang'oka Ligi ya Mabingwa Afrika

    LICHA ya kulipa kisasi dhidi ya FC Lupopo ya DR Congo kwa kupata ushindi wa mabao 3-0 jioni hii katika pambano la marudiano la raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini vigogo hivyo vya...

    ORLANDO Pict
  10. PRIME Mzungu wa Yanga kuanzia hapa

    Soma hapa

    MZUNGU Pict
Previous

Page 334 of 855

Next