Sheria za Arteta huko Arsenal usipime KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ameweka sheria kali ambazo anaamini zitaisaidia timu hiyo kushinda taji la Ligi Kuu England baada ya kuangukia pua dakika za mwisho kwa zaidi ya misimu mitatu.
Amorim: Hata aje Papa sibadili mfumo KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesisitiza hata aje Papa hawezi kumshawishi kubadilisha mtindo wake wa kucheza.
NBA mambo mengi, muda mchache! MSIMU mpya wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) 2025/26 unakaribia kuanza huku mashabiki, wachezaji na timu 30 zikisubiri mambo matano ambayo kila mwaka yamekuwa yakizungumzwa yakihusiana...
Tusker yaianza msimu mpya kwa kipigo cha 2-0, kocha awa mbogo Pazia la msimu mpya wa Ligi Kuu ya Soka ya Kenya (FKF) 2025/26 limefunguliwa rasmi, kwa mabingwa wa zamani Tusker FC, waliomaliza msimu uliopita katika nafasi ya nne, walianza kampeni kwa...
Kisa Sterling, Chelsea yapigiwa simu kali CHAMA cha Wachezaji wa Soka wa Kulipwa (PFA) kinaripotiwa kuwa katika mazungumzo na Chelsea kuhusu jinsi wanavyowatendea wachezaji waliotengwa Raheem Sterling na Axel Disasi.
Wachambuzi wampa Dembele Ballon d’Or MALEJENDI Thierry Henry na Jamie Carragher wameweka wazi wachezaji ambao wanawapa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or ya mwaka 2025 kuelekea sherehe za tuzo hizo zinazotarajiwa...
Tabu ya EPL iko pale pale! WIKIENDI hii Ligi Kuu England inatarajiwa kuendelea tena, huku mashabiki wakisubiri kwa hamu mechi mbalimbali hususani ile ya Manchester United dhidi ya Chelsea.
KIKAO KIZITO! Bosi akutana na Amorim BOSI wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe, aliruka kwa helikopta kwenda jijini Manchester ili kufanya mazungumzo na Ruben Amorim kufuatia mwanzo mbaya wa msimu wa klabu hiyo.
Nguvu kubwa sasa tuweke kimataifa! DABI ya Kariakoo imepita, hisia za mashabiki zimetulia, na historia mpya imeandikwa. Yanga SC waliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba SC, ushindi ambao umeendeleza rekodi ya kutawala...
Wanufaika minada mtandaoni wazidi kumiminika WAKATI ndiyo huu kwa Watanzania kuendelea kunufaika na mitandao ya kijamii kama wanavyofaidika baadhi kutokana na majukwaa mbalimbali yanayotoa zawadi za fedha na bidhaa mbalimbali ya minada ya...