Ya Manchester United, yamkuta Rashford Barca NYOTA wa Barcelona, Marcus Rashford yamemkuta kama yaliyotokea akiwa na kikosi cha Manchester United kwa kupewa adhabu ndogo ya kukaa benchi na kucheza kipindi kimoja kwa kosa la kuchelewa kikao...
Kamati ya leseni za klabu yenyewe haina leseni SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), imetangaza kuufungia kwa muda usiojulikana Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo mjini Tabora kutokana na kutokidhi vigezo.
Mshindi tuzo ya Ballon d'Or anavuta mkwanja kiasi gani? Sherehe za Ballon d’Or mwaka 2025 zinatarajiwa kufanyika leo kuanzia saa 4:00 usiku katika ukumbi wa Theatre du Chatelet, Paris, Ufaransa na ulimwengu wa soka unasubiri kwa hamu kuwaona washindi...
Joao Felix: Saudi inamtajirisha WIKI iliyopita moja kati ya mijadala ilikuwa ni komenti ya Cristiano Ronaldo ambaye aliwajibu watangazaji na wachambuzi wa soka waliokuwa wakikosoa uamuzi wa staa mwenzake wa Ureno, Joao Felix...
Ahmed Ally awatuliza presha mashabiki Simba Baada ya kusambaa kwa taarifa zinazomuhusu kocha wa Simba, Fadlu Davis kuondoka klabuni hapo pamoja na benchi lake la ufundi akisalia Kocha Msaidizi pekee, Selemani matola, Meneja wa Habari na...
Bernardo Silva aipa ubingwa Liverpool, Arsenal FUNDI wa boli, Bernardo Silva amekiri kwamba nafasi ya Liverpool na Arsenal kushinda Ligi Kuu England kwa sasa ni kubwa zaidi kuliko ya Manchester City.
Vinicius? Lolote linaweza kutokea STAA wa Real Madrid, Vinicius Junior anaweza kuamua kuachana na timu hiyo kama mahitaji ya mshahara anaotaa ili asaini mkataba mpya hayatatekelezwa.
Wakala wa Saliba aomba kikao Arsenal WAKALA wa beki kisiki wa Arsenal, William Saliba ametuma ombi la kukutana haraka na mabosi wa Arsenal ili kujadili mkataba mpya katika nyakati hizi ambazo Real Madrid imeonyesha kuongeza dhamira...
Ishu ya viwanja itaharibu ladha ya Ligi Kuu JUZI Jumamosi, Bodi ya Ligi Kuu Bara (TPLB) ilitangaza rasmi kuufungia Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo mkoani Tabora kwa kushindwa kukidhi vigezo vya kutumika kwenye michezo ya mashindano ya...