Yanga yazuia usajili wa Sh.4 bilioni za Merreikh LICHA ya kuanza benchi katika mechi dhidi ya Yanga, Stephen Worgu wa El Merreikh ya Sudan ana thamani kuliko wachezaji wote wa Tanzania.
SuperSport yaitema Gor Mahia KITUO maarufu cha televisheni cha SuperSport cha Afrika Kusini kimesusa kurusha moja kwa moja mechi yoyote itakayohusisha klabu ya Gor Mahia kwenye Ligi Kuu Kenya.
Okwi akaribia Kaizer Chief INGAWA Simba inafanya siri kubwa lakini dili limevuja kwamba mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi, atafanyiwa vipimo kwenye klabu ya Kaizer Chief ya Afrika Kusini mwisho wa mwezi huu.
Simba yazua makubwa Congo IKIWA ni siku moja tangu iwekwe Uwanja wa Ndege wa Kinshasa kwa saa nne bila msaada, Simba imepata ahueni ikiwa ni pamoja na hoteli
Klabu Ulaya yamtaka Samatta kwa Sh 500m KLABU ya Villacher Sportverein ya Austria imewaambia Simba kuachana na Shilingi milioni 150 za TP Mazembe kwani wao wanamtaka Mbwana Samatta kwa Shilingi milioni 500.
Nchi 48 kuziona Simba na Yanga MECHI ya Ligi Kuu Tanzania Bara baina ya watani wa jadi; Simba na Yanga itaonekana karibu bara lote la Afrika.
TP MAZEMBE VS SIMBA , EL HODOUD VS YANGA SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) imetoa ratiba ya michuano ya kimataifa kwa kuzipangia Simba na Yanga mechi nyepesi za
Mwape awakaanga Tegete na Nsa Job KOCHA wa Yanga, Kosta Papic amesema Nsa Job na Jerry Tegete wanatakiwa kufanya kazi kubwa ili wasipokwe namba na
Manji: Yaani Simba imetupita! Sikubali YUSUFU Manji amekasirika! Amewaweka kitimoto wachezaji wa Yanga kwa muda wa saa moja jijini Dar es Salaam kutaka kujua
Syllersaid Mziray 'Super Coach' afariki MMOJA wa makocha wasaidizi wa timu ya Simba, Syllersaid Kahema Mziray 'Super Coach' amefariki.