Libolo na timu ya Okwi zapeta CAF ETOILE du Sahel ya Tunisia anayoichezea Emmanuel Okwi imeshinda mabao 2-1 kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho huku Recreativo Libolo
Yanga bana! Yaangusha moja moja KATIKA mechi nne zilizopita, Yanga imekuwa ikishinda kwa bao moja moja, lakini Kocha Ernie Brandts amesema hakuna tatizo ingawa wikiendi iliyopita aliwapangua mastraika wake. Yanga ni vinara wa...
Vigogo wang'oka Simba, Mpira Pesa huru VIGOGO wawili wazito na wenye ushawishi mkubwa kwenye maamuzi ya ndani ya Simba wamebwaga manyanga lakini
Yanga, Libolo vita ya kufa mtu KISHABIKI mitaani Yanga inaifurahia Recreativo Libolo ya Angola kwa mambo mawili; kumwondoa mtani wake ambaye
Yanga yaipiga bao jingine Simba SIMBA inahaha kukikimbiza kivuli cha Yanga kwenye Ligi ya Bara lakini rekodi zinawabeba vijana hao wa Jangwani huku kocha wao, Ernest Brandts akisisitiza kuwa hilo ni bao jingine.
Matatizo makubwa ya Simba yafichuka SIMBA inahitaji kushinda mechi zake zote nane zilizosalia kwenye mzunguko wa pili kufikisha pointi 55 lakini ikiombea angalau Yanga.....
Kazi moja Simba KOCHA wa Simba, Patrick Lieweg amesema kikosi chake kina kazi moja tu kesho Jumapili mbele ya Recreativo Libolo ya Angola.
Kazi moja Simba KOCHA wa Simba, Patrick Lieweg amesema kikosi chake kina kazi moja tu kesho Jumapili mbele ya Recreativo Libolo ya
Kumekucha KUNA mambo mawili yatakuwapo leo Jumamosi. Kwanza, Ligi Kuu Bara itaanza katika viwanja mbalimbali, na pili, mashushushu wa Recreativo
Mrisho Ngassa asaini rasmi Yanga HUU si mchezo wa kuvurugana akili, wala si hujuma ila ni hakika. Yanga imethibitisha 'kumsajili' winga machachari wa Simba, Mrisho Ngassa kwa