Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8318 results for Mwandishi Wetu :

  1. Simba wamalizana na kiungo Mcongo

    Baada ya dirisha dogo la usajili kufungwa Januari 15 , Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa orodha ya wachezaji wote waliosajiliwa na klabu mbalimbali hapa nchini. Katika usajili huo...

    New Content Item (1)
  2. Carlinhos sasa rasmi

    SASA ni rasmi mshambuliaji wa Yanga, Carlos Carlinhos ameruhusiwa kuanza mazoezi ya pamoja na wachezaji wenzake mapema wiki ijayo baada ya kukaa nje kwa muda mrefu kutokana na majeraha ya paja.

  3. Bocco hatahati, Nyoni atua Stars

    TAIFA Stars inatarajiwa kushuka uwanjani kesho Januari 19, 2020 usiku kuvaana na Zambia, huku nahodha wake, John Bocco akiwa katika hatihati kucheza mchezo huo, lakini beki mkongwe wa timu hiyo...

  4. Kocha Simba kutajwa

    Dar es Salaam. Uongozi wa Simba umesema wiki hii utamtangaza rasmi mrithi wa Sven Vandenbroek pamoja na kocha wa makipa atakayechukua nafasi ya Muharami Mohamed. Simba inafanya mabadiliko kwenye...

  5. Simba yafafanua sakata la FCC

    Dar es Salaam. Siku chache tangu Tume ya Ushindani (FCC) kutangaza kuanza kufanya uchunguzi wa mfumo mpya wa uendeshaji wa klabu ya Simba, inayowahusu wadaawa watano Bodi ya Wakurugenzi wa klabu...

  6. Manyama aikacha Namungo

    DIRISHA dogo la usajili limefungwa rasmi huku beki Edward Charles akiachana na Namungo FC inayoshiriki michuano ya kimataifa ambapo amejiunga na Ruvu Shooting ya Pwani. Manyama ameichezea...

  7. Mechi 3 za heshima Stars

    FAINALI za Chan zinaanza leo Januari 16 nchini Cameroon. Zitapigwa mechi mbili za kundi A. Moja saa 1 usiku mwenyeji Cameroon kukipiga na Zimbabwe. Saa 2 usiku Mali watacheza na Burkina Fasso.

  8. Yanga yashusha straika Mrundi

    YANGA imefanya sapraizi ya dakika za lala salama za usajili wa Tanzania Bara baada ya kumalizana na straika Mrundi, Fiston Abdulrazak. Huo unakuwa usajili wa pili wa Kocha Cedrick Kaze raia wa...

  9. Caf yalegeza kanunia za Corona

    CAF imesisitiza kwamba kanuni hizo mpya zimeanza kufanya kazi kuanzia Januari 15 mwaka huu.

    New Content Item (1)
  10. FCC yaanza uchunguzi mabadiliko Simba

    Tume ya Ushindani (FCC) imeanza uchunguzi wa mfumo mpya wa uendeshaji wa klabu ya Simba ambao inawahusu wadaawa watano.

    New Content Item (1)
Previous

Page 809 of 832

Next