Mashabiki Aston Villa wamtaka Samatta acheze dhidi ya Watford Mashabiki wa Aston Villa wameshindwa kuzuia hisia zao baada ya kumtaka kocha wao amtumie mshambuliaji wao mpya Mbwana Samatta aliyesaini mkataba wa miaka minne na nusu katika mchezo wa leo dhidi...
Clippers yamtema Chris Paul NBA LOS Angeles Clippers wameachana na Chris Paul katika mazingira yaliyoacha maswali kwa mashabiki wanaofuatilia Ligi ya Kikapu Marekani (NBA).
Shuti la Lionel Messi laharibu kamera ya mpigapicha! UNAPOMUONA Lionel Messi akijiandaa kupiga shuti na wewe uko nyuma ya goli ukiwa na kamera mkononi elewa kwamba unajiandalia balaa kwani unaweza kunasa picha ya kipekee au ukajikuta unaharibu...
Konde Boy albamu yes! Video chache Licha ya albamu yake pili, High School kuwa na nyimbo 20, Harmonize ameshindwa kufikia hata asilimia 50 ya kufanya video za albamu hiyo iliyotoka Novemba 5, 2021 na kushirikisha wasanii sita.
TUONGEE KISHKAJI: Kila msanii anajiona bora, nani mbovu? alilalamika kwa namna moja ama nyingine. Binafsi wakati natazama hizo sarakasi nilikuwa nawaelewa wasanii na nilikuwa upande wao. Kuwa upande wao simaanishi kwamba nilikuwa nadhani wako sahihi...
NINAVYOJUA : Waandishi wasiwageuze chambo Julio, Minziro MASHABIKI wengi wa soka wamekuwa na hamu kubwa ya kumuona kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wa Mwadui atakavyoweza kuifanya kazi yake ndani ya kikosi hicho baada ya miaka mingi kujipatia umaarufu...
VIDEO: Pablo wa Simba atua Dar Kocha mpya wa Simba, Pablo Franco Martine amewasili nchini Tanzania leo saa 4:00 asubuhi akitokea kwao Hispania kupitia Dubai-Zanzibar kisha Dar es Salaam
Cardi B amlipua mshauri wa Trump RAPA maarufu wa Marekani, Cardi B, amemjibu mshauri wa zamani wa Rais wa Marekani, Donald Trump, Alex Bruesewitz baada ya kumhusisha kwenye mjadala unaoendelea mtandaoni kuhusu mabadiliko ya...
Dube: Mokwena anaiogopa Yanga MWANDISHI wa habari kutoka Afrika ya Kusini, Dube Mthoko amesema Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rhulani Mokwena Hloae anaiogopa Yanga kuelekea mchezo wao wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Mourinho anamtaka Benzema Benfica KOCHA mpya wa Benfica, Jose Mourinho anahitaji huduma ya mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid, Karim Benzema kutoka Al-Ittihad ambayo ipo tayari kumuuza kwa bei chee.