Konde Boy albamu yes! Video chache Licha ya albamu yake pili, High School kuwa na nyimbo 20, Harmonize ameshindwa kufikia hata asilimia 50 ya kufanya video za albamu hiyo iliyotoka Novemba 5, 2021 na kushirikisha wasanii sita.
TUONGEE KISHKAJI: Kila msanii anajiona bora, nani mbovu? alilalamika kwa namna moja ama nyingine. Binafsi wakati natazama hizo sarakasi nilikuwa nawaelewa wasanii na nilikuwa upande wao. Kuwa upande wao simaanishi kwamba nilikuwa nadhani wako sahihi...
NINAVYOJUA : Waandishi wasiwageuze chambo Julio, Minziro MASHABIKI wengi wa soka wamekuwa na hamu kubwa ya kumuona kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wa Mwadui atakavyoweza kuifanya kazi yake ndani ya kikosi hicho baada ya miaka mingi kujipatia umaarufu...
VIDEO: Pablo wa Simba atua Dar Kocha mpya wa Simba, Pablo Franco Martine amewasili nchini Tanzania leo saa 4:00 asubuhi akitokea kwao Hispania kupitia Dubai-Zanzibar kisha Dar es Salaam
Cardi B amlipua mshauri wa Trump RAPA maarufu wa Marekani, Cardi B, amemjibu mshauri wa zamani wa Rais wa Marekani, Donald Trump, Alex Bruesewitz baada ya kumhusisha kwenye mjadala unaoendelea mtandaoni kuhusu mabadiliko ya...
Dube: Mokwena anaiogopa Yanga MWANDISHI wa habari kutoka Afrika ya Kusini, Dube Mthoko amesema Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rhulani Mokwena Hloae anaiogopa Yanga kuelekea mchezo wao wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Mourinho anamtaka Benzema Benfica KOCHA mpya wa Benfica, Jose Mourinho anahitaji huduma ya mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid, Karim Benzema kutoka Al-Ittihad ambayo ipo tayari kumuuza kwa bei chee.
Dah! Chelsea itakuwaje sasa KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amepata pigo kubwa baada ya mshambuliaji wake Nicolas Jackson kupata majeraha makubwa yatakayomweka nje ya uwanja kwa muda mrefu tofauti na ilivyoripotiwa hapo awali.
Garnacho apiga bao la Fifa ALEJANDRO Garnacho ameshinda tuzo ya Fifa ya Bao Bora la Mwaka (Fifa Puskas) siku chache baada ya kupigwa chini kwenye kikosi cha Manchester United kilichocheza na Manchester City katika kipute...
Kevin De Bruyne kambi kokote KIUNGO wa Manchester City, Kevin De Bruyne ambaye anatarajiwa kuondoka mwisho wa msimu huu, amesema yupo tayari kupokea ofa ya kucheza kokote ifikapo dirisha lijalo la majira ya kiangazi hata...