Siku tano tu, TFF yavuna Sh10 milioni KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) chini ya Mwenyekiti Wakili Kiamoni Kibamba juzi ilifunga zoezi la uchukuaji na urudishaji fomu kwa kuwania nafasi ndani ya shirikisho hilo...
Mamitto: Haikuwa kazi rahisi kutoboa maisha EUNICE Wanjiru ni mchekeshaji maarufu wa Stand Up Comedy aliyeibukia kupitia shoo ya Churchill Show. Mamilioni ya mashabiki wake wanamfahamu vyema kama Mamitto. Akiwa na umri wa miaka 27, tu...
Kinachompeleka Mkude Hospitali JUZI Jumanne Kamati ya Nidhamu ya klabu ya Simba ilishindwa kutoa hukumu ya kiungo Jonas Mkude anayetuhumiwa kwa utovu wa nidhamu ikitaka apelekwe hospitali ya Rufaa ya Taifa, Muhimbili kwa ajili...
Sahara Power kutumia baskeli kupambana na hewa chafu ya kaboni Kampuni ya Sahara Power Group inayofanya kazi ya kuzalisha umeme, imeamua kupambana na kupunguza hewa chafu ya kaboni kwa kuhamasisha matumizi ya kuendesha baiskeli kwenye miradi ya umeme na...
Nandy Festival 2021 lapata udhamini mnono MSANII wa muziki wa kizazi kipya Faustina Charles 'Nandy' ambaye kwasasa anaendelea na tamasha lake la Nandy Festival 2021 amepata udhamini wa tamasha hilo kupitia Kampuni ya mawasiliano ya...
Ufunguzi umiseta, umishumta wanoga michezo ya mwaka huu inasema ‘Michezo, Sanaa na Taaluma kwa Maendeleo ya Uchumi wa Viwanda’ inasadifu kwa kiasi kikubwa nia ya Serikali na chama Tawala, kutumia kila fursa tuliyo nayo kuleta...
Simba noma! Yanga yaporwa staa hotelini, Azam wabaki na mkataba wao WhatsApp SIMBA haina masikhara kabisa na maandalizi ya msimu ujao. Baada ya kufika hatua ya Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika huku wakibakisha hatua chache kutwaa taji la Ligi Kuu Bara (VPL), Simba...
Bihimba Cup 2021 mapema tu Julai Dar es Salaam. Vijana wametakiwa kujiingiza katika michezo ikiwemo mpira wa miguu ili kuepukana vitendo vya kiharifu ikiwemo uvutaji wa dawa za kulevya na wizi Akizungumza hayo leo Juni 8, 2021...
Vodacom wavunja mkataba Ligi Kuu MSIMU ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara haitaitwa tena Vodacom Primier Ligue (VPL) baada ya Vodacom kuvunja mkataba wa kuendelea kuwa mdhamini wa Ligi Kuu kwa sababu mbalimbali zilizoelezwa na...
Hizi mashine zikitua Yanga wamekwisha YANGA wanakiri kwamba eneo kubwa lililowaangusha msimu huu kuhusu ubora wa timu yao basi ni eneo la ushambuliaji na sasa kuna mastraika watano kati ya hao wanataka wawili kuingia ndani, ili kuvaa...