Haya ndo majina ya kushangaza katika soka FIKIRIA tungekuwa tunaishi vipi kama tungekuwa hatuna majina na kutambulika tu kama binadamu, yaani watoto wa Adam na Hawa.
Arsenal Vs Man United… Mechi ya ufundi wa dakika 90 MICHAEL Carrick alianza kazi yake kwa changamoto kubwa alipokutana na Manchester City katika mchezo wake wa kwanza.
AFCON 2025: Ni fainali ya fahari wawili MICHUANO ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imefikia patamu na Jumapili mashabiki wanatarajia kushuhudia fainali ya aina yake baina ya wenyeji Morocco dhidi na mabingwa wa 2021, Senegal...
Tanzania kuna cha kujifunza kwa Morocco? KUNA jambo moja lililoibua funzo kubwa kwa nchi yoyote inayotarajia kuwa mwenyeji wa mashindano makubwa ya kimataifa, Morocco imeonyesha wazi kuwa AFCON haikuwa tu mashindano ya wiki chache, bali...
Funika mdomo, siri ya wachezaji wakiteta uwanjani HUENDA umekuwa ukiona jambo hili, lakini hukuwahi kufikia linafanyika kwa sababu zipi. Ndiyo, ni mara nyingi imekuwa ikionekana wachezaji au makocha pale wanapokuwa wakizungumza uwanjani hupenda...
Gemu ya Senegal, Morocco ilivyobamba kwa dakika 120 SENEGAL na Morocco ziliwakilisha Bara la Afrika na dunia nzima kushuhudia drama halisi ya soka katika fainali ya AFCON 2025, kuanzia penalti yenye utata, maandamano hadi bao la Pape Gueye...
Freshi wanetu... Ndo hivyo haikuwa rahisi USIKU wa jana, zimepigwa mechi tatu za CAF zilizohusisha timu za Tanzania ambapo Yanga ilikabiliana na AS FAR Rabat, huku Simba ikicheza dhidi ya Petro Atletico, hizi zilikuwa katika Ligi ya...
Michael Olise Winga mwenye mikoba yake Bayern Munich WINGA mahiri wa Bayern Munich, Michael Olise, ameibuka kuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi barani Ulaya, akigeuka kuwa mhimili mkuu wa ubunifu ndani ya kikosi hicho cha Ujerumani.
Sinners yamsogeza karibu Jordan katika Oscars MWIGIZAJI wa Marekani, Michael B. Jordan, amepata ushindi wa kushtukiza katika tuzo za Actor (zamani zikijulikana kama Screen Actors Guild Awards), hali iliyompa nguvu mpya katika wiki za mwisho...