Ana kwa ana na Wabrazili wa Chelsea wanaogandana muda wote Ni wazi kuwa kiongozi wao ni Joao Pedro anapoketi kwa mahojiano, katika mgahawa anaoupenda tangu alipojiunga na Watford akiwa kijana.
Wembanyama avunja rekodi NBA, mkataba mnono na ndoto ya ubingwa KATIKA mpira wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), ni ngumu kuona mchezaji anayevutia macho ya wadau na mashabiki wengi kwa muda mfupi kama ilivyo kwa Victor Wembanyama maarufu Wemby. Unajua kwanini?
IMRAN KHAN: Nahodha, shujaa wa Kriketi anayeliliwa Pakistan akiwa jela KWA mara nyingine, wananchi wa Pakistan, hasa mashabiki wa kriketi wanamkumbuka Imran Khan aliyekuwa nahodha wa kikosi chao kilichoshinda Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza na pekee mnamo 1992.
Arsenal yapewa msala wa kupoteza muda Ligi Kuu England ARSENAL ilitumia zaidi ya dakika 30 kuanzisha mchezo upya katika ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Brighton, ushindi uliowasaidia kusogea karibu zaidi na ubingwa wa Ligi Kuu England.
Mechi tano muhimu Ulaya zitakazoamua mbio za ubingwa HAKUNA kitu kinachovutia zaidi katika mchezo wa soka kama mbio za ubingwa zinapoamuliwa katika dakika za mwisho za msimu. Unakumbuka lile tukio la bao la la Sergio Aguero lililowapa Manchester...
Diamond Platnumz ni dege la Stealth la Bongo Flava KATIKA wimbo wake mpya wa African Soldier, msanii kutoka Nigeria, Patoranking amewataja nyota wawili wa Tanzania, Ali Kiba na Diamond Platnumz kama wanajeshi.
Bafana Bafana katikati ya mtego AFCON 2025 TIMU ya taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana leo Jumatatu inatarajiwa kushuka uwanjani kukata utepe wa merchi za Kundi B ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 dhidi ya Angola...
Ishu ya kocha mpya, Simba yarudi tena mezani SIMBA inakaribia kumaliza mchakato wa kumpata kocha mpya wa kuiongoza timu hiyo baada ya Desemba 2, 2025 kuachana na Dimitar Pantev kwa makubaliano ya pande mbili.
Diego Simeone anamtaka Rashford Atletico Madrid ATLETICO Madrid imeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford, 28, ambaye kwa sasa anachezea Barcelona kwa mkopo akitokea Manchester United.
Napoli yakataliwa tena kwa Kobbie Mainoo KIUNGO wa Manchester United, Kobbie Mainoo hataruhusiwa kuondoka Old Trafford dirisha la usajili la Januari baada ya Kocha Ruben Amorim kuweka msimamo mkali wa kumbakisha, licha ya kuwepo kwa ofa...