Rashford, Barca sasa mambo freshi! BARCELONA imefikia makubaliano ya kumsainisha mkataba wa moja kwa moja mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, 28, anayecheza katika kikosi chao kwa mkopo...
PSG yaendelea kumnyemelea Rashford sasa yaja na mbinu mpya PARIS Saint-Germain imeanza mazungumzo na Manchester United ili kuona ikiwa kuna uwezekano wa kupata huduma ya mshambuliaji wa timu hiyo na England, Marcus Rashford mwenye umri wa miaka 28 kwa...
ERIK WEIHENMAYER: Mlemavu wa macho aliyeweka rekodi ya dunia MWANZONI mwa Juni, 2001 vyombo vingi vya habari katika medani ya michezo vilijadili kile kilichoonekana kama maajabu ya mtu asiyeoona kabisa, Erik Weihenmayer wa Marekani kuwa mtu wa kwanza...
Kigogo Homeboyz ataka Benni McCarthy atimuliwe MWENYEKITI wa klabu ya Kakamega Homeboyz, Cleophas Shimanyula amelitaka Shirikisho la Soka Kenya (FKF), kumfukuza kocha wa timu ya taifa, Harambee Stars, Benni McCarthy kutokana na aibu ya kipigo...
Manchester United sasa yatua kwa Aurelien Tchouameni MANCHESTER United imepanga kumsajili kiungo wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa, Aurelien Tchouameni, 25, katika dirisha lijalo la majira ya baridi au kiangazi.
Hukumu ya Perez, Riquelme ni leo KWA MARA ya kwanza katika kipindi cha miaka 20, utawala wa Florentino Perez ndani ya Real Madrid utakabiliwa na changamoto kupitia sanduku la kura.
Kisa Trump barabara kufungwa, ulinzi mkali fainali NBA BARABARA zitafungwa, hakutaruhusiwa kuingia na mabegi au mifuko, pamoja na hatua kali za kiusalama zitawakabili mashabiki watakaoingia kwenye Ukumbi wa Madison Square Garden usiku wa leo, wakati...
Mbappe, Vini JR, Jude mtego wa Jose Mourinho REAL Madrid walimaliza msimu vibaya, bila kutwaa taji lolote na wakiwa mbali na matarajio yaliyowekwa kwa kikosi kilichotarajiwa kutawala soka la Ulaya. Mashabiki wa Madrid walimaliza msimu...
Sababu Ivory Coast kuchagua Philadelphia maandalizi Kombe la Dunia WAKATI mataifa mengi yanayojiandaa na Kombe la Dunia 2026 yakisaka mazingira bora ya maandalizi, Ivory Coast wameonekana kufanya maamuzi ya kimkakati kwa kuichagua Philadelphia kuwa moja ya vituo...
Beckham awafunika Ronaldo na Messi WANAPOTAJWA mastaa wa soka wenye utajiri zaidi duniani kwa sasa kuna majina ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi ambao mkwanja walionao unazidi Pauni 500 milioni, lakini sasa mwanasoka wa zamani...