Estevao ang'ara Chelsea ikiilaza Barcelona 3-0, Man City hoi nyumbani
WINGA wa Chelsea, Estevao Willian, ameng'ara usiku wa Novemba 25, 2025 wakati timu hiyo ikipata ushindi wa 3-0 dhidi ya Barcelona iliyokuwa na wachezaji 10 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...