Straika Arsenal, Arteta kaanza kuchemka mapema Msimu wa 2024-25 kwa Arsenal tayari uARSENAL akili sasa ni kufanya usajili wa maana. Dirisha la usajili la majira ya kiangazi halina muda mrefu kufunguliwa na miamba hiyo ya London imeweka...
Liverpool yaikazia Madrid kwa Alexander-Arnold INAELEZWA Liverpool wameshikilia msimamo wa kuhitaji Pauni 1 milioni kutoka Real Mªdrid ili kumwachia beki wao wa kimataifa wa England, Trent Alexander-Arnold, 26, kabla ya mkataba wake kumalizika.
Barcelona waanza kumnyatia Julian Alvarez BARCELONA wanapanga kufanya usajili wa mshambuliaji wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Argentina, Julian Alvarez, 25, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ikiwa ni katika harakati zao...
Simba, Yanga zaongezewa noti Afrika KLABU zinazoshiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, zikiwamo Simba na Yanga za Tanzania Bara na Mlandege ya visiwani Zanzibar zimeongezewa neema baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...
Osimhen akubali kubaki Galatasaray kwa mkopo MSHAMBULIAJi wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen yuko tayari kusaini mkataba wa kudumu wa kuitumikia Galatasaray ambayo aliichezea kwa mkopo msimu uliopita.
Man United, Chelsea mambo magumu kwa Sesko MABOSI wa RB Leipzig wameendelea kushikilia msimamo wao wa kuhitaji euro 100 milioni ili kumuuza mshambuliaji wa kimataifa wa Slovakia, Benjamin Sesko, 22, katika dirisha hili.
Chelsea yatua kwa Gianluigi Donnarumma KUTOKANA na kiwango kibovu alichoonyesha kipa wao Roberto Sanchez, kocha wa Chelsea amewasilisha jina la kipa wa Paris St-Germain na timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, akihitaji...
PRIME Baada ya Conte mashine nyingine tatu Yanga ni hizi! VURUGU walizoanza nazo mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara, Yanga katika kutangaza majembe mapya, zimeanza kushtua.
Jadon Sancho, Juventus ni suala la muda JUVENTUS imekubali kutoa Euro 25 milioni kwenda Manchester United kuipata saini ya winga wa timu hiyo, Jadon Sancho.
Konate aingia anga za Real Madrid, dili ni mwakani REAL Madrid iko tayari kusubiri hadi msimu ujao ili kumsajili beki wa Liverpool na timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, mwenye umri wa miaka 26, kwa uhamisho wa bure.