Mayele ana dakika 180 za kibabe KESHO Jumamosi inapigwa mechi ya kwanza ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Loftus Versfeld, Pretoria, Afrika Kusini kwa kuzikutanisha Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini na...
Indiana Pacers mabingwa wa comeback NBA KATIKA ulimwengu wa mpira wa kikapu ushindi mkubwa haupimwi tu kwa pointi zilizopatikana, lakini mara nyingi hutokana na moyo, uvumilivu na uwezo wa kurudi mchezoni licha ya kupigwa bao.
Vigogo Real Madrid waweka mzigo kwa Rodri REAL Madrid iko tayari kutoa Pauni 100 milioni kwenda Manchester City kwa ajili ya kumsajili kiungo wa timu ya taifa ya Hispania, Rodri katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Chelsea bado inapambana kwa Alejandro Garnacho CHELSEA bado inashinikiza kutaka kuipata saini ya winga wa Manchester United na timu ya taifa Argentina, Alejandro Garnacho katika dirisha hili.
Vigogo Liverpool kufanya kufuru kwa Alexander Isak LIVERPOOL ipo tayari kutoa dau litakalovunja rekodi ya usajili ya England dirisha hili kwa ajili ya kumsajli mshambuliaji wa Newcastle na timu ya taifa ya Sweden Alexander Isak, mwenye umri wa...
PRIME Kocha Yanga ashusha mafundi wengine wapya YANGA imebakiza hatua chache kumalizia usajili, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Romain Folz kuna mabadiliko anayoyafanya akipanga kushusha watu wengine wawili wapya Jangwani. Kocha huyo...
Newcastle, Bayern Munich jino kwa jino kwa Jackson BAYERN Munich imeingia katika vita dhidi ya Newcastle United kumuwinda mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya Senegal, Nicolas Jackson, mwenye umri wa miaka 24.
DAZN yaweka Dola 1 bilioni kombe la dunia la klabu KUELEKEA mfumo mpya wa uendeshaji wa Kombe la Dunia la Klabu la FIFA, timu shiriki zinaripotiwa kuwa zitakunja pesa za kutosha baada ya ripoti kufichua kwamba zimetengwa zaidi ya Dola 1 bilioni...
Simba wakishikilia msimamo wao, Bodi ya Ligi itaweza kuwapoka alama 15? Kanuni ya 31 ya Ligi Kuu msimu wa 2024/25 yenye vipengele saba na vidogo viwili, inasema: Timu yoyote itakayokosa kufika uwanjani bila sababu za msingi zinazokubalika na TFF/TPLB, na/au...
Amorim ni Mourinho mpya? KOCHA, Ruben Amorim amepita kwenye nyayo za shujaa wake Jose Mourinho na kufanikiwa kutibua mipango ya Arsenal kwa kuibana na kutoka nayo sare kwenye mchezo wa Ligi Kuu England, huku akidai...