Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

9014 results for Mwandishi :

  1. Guehi, Rice hatarini kukosa robo fainali

    ENGLAND imepata pigo jipya kuelekea robo fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Norway baada ya beki wa kati Marc Guehi kusubiriwa kufanyiwa tathmini ya mwisho saa chache Ijumaa ili kubaini kama...

    ENGLAND Pict
  2. Bruno akumbwa na matusi kisa Cristiano Ronaldo

    NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes, amejikuta akipokea wimbi kubwa la matusi na lawama katika mitandao ya kijamii baada ya Ureno kutolewa kwenye Kombe la Dunia, huku baadhi ya...

    BRUNO Pict
  3. Kisa vitisho vya kuuawa agoma kurudi Colombia

    MSHAMBULIAJI wa Colombia, Jaminton Campaz, anaripotiwa kutorejea nchini kwao baada ya kuondolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 kutokana na hofu ya usalama wake kufuatia kupokea vitisho vya kuuawa...

    COLOMBIA Pict
  4. Nikimkumbuka Kizota, naikumbuka Boxing Day

    LEO Alhamisi ni siku maalumu, inaitwa Boxing Day, siku ya kufungua zawadi, siku moja baada ya Wakristo duniani kuadhimisha siku maalumu ya kuzaliwa mkombozi wao Yesu Kristo katika Bethelehemu ya...

  5. Twiga Stars ipo tayari kwa WAFCON 2026

    KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania, Twiga Stars Bakari Shime amesema maandalizi ya kikosi chake kuelekea fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 yanaendelea...

    TWIGA Pict
  6. Man City yakomaa kwa Ayyoub Bouaddi

    Manchester City imeongeza juhudi za kumwania kiungo chipukizi wa Lille, Ayyoub Bouaddi, kufuatia kiwango alichoonyesha katika msimu uliopita na Kombe la Dunia, kwa mujibu wa taarifa za talkSPORT.

    FUNUNU Pict
  7. Rais wa LaLiga amtaka Infantino ajiuzulu

    RAIS wa LaLiga, Javier Tebas, amemtaka rais wa FIFA, Gianni Infantino, kujiuzulu, akidai uongozi wake unaharibu tasnia ya soka kwa uamuzi yanayoweka maslahi ya mashindano ya Kombe la Dunia mbele...

    RAIS Pict
  8. Mwisho wa mechi 831 za Anthony Taylor

    MWAMUZI mashuhuri wa Ligi Kuu England (Premier League), Anthony Taylor, ametangaza kustaafu rasmi kazi ya uamuzi, siku chache baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia 2026.

    TAYLER Pict
  9. Bounemouth yakataa ofa nono ya Chelsea

    Bournemouth imekataa ofa ya pauni 64 milioni iliyowasilishwa na Chelsea kwa ajili ya kumsajili kiungo Alex Scott.

    FUNUNU Pict
  10. Mauzo ya kihistoria EPL: Ronaldo juu, Isak nje ya kumi bora

    LICHA ya dirisha hili la usajili kushuhudia wachezaji watatu wa Ligi Kuu England kuuzwa kwa zaidi ya pauni100 milioni kila mmoja, hakuna hata mmoja anayekaribia rekodi ya Cristiano Ronaldo baada...

    MAUZO Pict
Previous

Page 621 of 902

Next