Osimhen aitamani tena Italia, Juventus yatajwa MSHAMBULIAJI wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, 26, ambaye mara kadhaa ametajwa ana mpango wa kwenda England, imefichuka pia angependa kurudi Italia ambako Juventus inahitaji...
Wenye Rumble in the Jungle wametuacha GWIJI wa masumbwi, George Foreman amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76, familia yake imethibitisha.
PRIME Ifahamu Suruali inayotibu misuli wachezaji SI habari nzuri kabisa kuzisikia. Una mechi muhimu, kisha unasikia timu yako itamkosa mchezaji muhimu kabisa kwenye kipute hicho kwa sababu ya tatizo la misuli.
Ibrahima Konate aingia anga za PSG PARIS St-Germain na Real Madrid wanafuatilia hali ya beki wa Liverpool na Ufaransa, Ibrahima Konate, 25, ili kumsajili katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ambapo mkataba wake utakuwa...
PRIME FOREMAN: Bondia aliyetajirika baada ya ngumi DUNIA imepoteza mmoja wa mabingwa wa ngumi waliokuwa na umaarufu mkubwa zaidi, George Foreman, ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 75.
Isak aitamani Barca, akiisikilizia Liverpool MSHAMBULIAJI wa Newcastle United na timu ya taifa ya Sweden, Alexander Isak, yuko tayari kujiunga na Barcelona katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi lakini kipaumbele chake cha kwanza ni...
PRIME Mashine ya mashuti inavyonoa mastaa mazoezini MAISHA yanakwenda kasi sana. Kwenye viwanja vya mazoezi ya mchezo wa soka teknolojia imeshika hatamu.
Magalhaes awekewa pesa Arsenal kisa Al Nassr ARSENAL iko tayari kumpa ofa ya mkataba mpya beki wake wa kati na timu ya taifa ya Brazil, Gabriel Magalhaes mwenye umri wa miaka 27, ili kumzuia asiondoke katika dirisha lijalo la majira ya...
Hawa hapa Makipa wanaomnyima usingizi Amorim JUMAPILI iliyopita, Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim alimpumzisha kipa wake, Andre Onana baada ya kufanya makosa yaliyoigharimu kwenye mechi ya robo fainali ya Europa League dhidi ya Lyon...
Kisa Vinicius Jr, Madrid yaanza kumnyatia Haaland REAL Madrid inafikiria kutuma ofa kwenda Manchester City kwa ajili ya kuipata saini ya straika wao na timu ya taifa ya Norway, Erling Haaland, 24, dirisha la majira ya kiangazi mwaka huu, ikiwa...