Tammy Abraham anukia England, Roma freshi ROMA ipo tayari kusikiliza ofa kutoka timu nyingine juu ya straika wao raia wa England, Tammy Abraham ambaye msimu huu anacheza kwa mkopo AC Milan.
ATM YA WIKI: Heshima NBA imempa utajiri Jordan MOJA kati ya viatu maarufu duniani ni Air Jordan ambavyo vimebeba jina la mchezaji wa zamani wa kikapu wa Marekani Michael Jordan.
Paul Pogba kucheza ni Inter Miami, Uarabuni PAUL Pogba ambaye adhabu yake ya kifungo cha kutocheza soka kinamalizika wiki hii, hadi sada bado hajafanya uamuzi wa wapi anaweza kusaini licha ya kupokea ofa kibao kutoka timu mbalimbali.
Gyokeres, Osimhen kung’oa wachezaji 11 Chelsea CHELSEA huenda ikauza hadi wachezaji 11 katika dirisha la majira ya kiangazi mwaka huu ikiwa ni pamoja na wachezaji wawili wa England, mshambuliaji Raheem Sterling, 30, na beki mwenye umri wa...
Xavi Simons apigiwa mahesabu Liverpool Liverpool imeongeza juhudi katika harakati zao za kuiwania saini ya kiungo wa RB Leipzig raia wa Uholanzi, Xavi Simons, 21, ambaye anauzwa kwa kiasi kisichopungua Euro 80 milioni.
PRIME Kipa Mnigeria atampindua Diarra Yanga? KIPA Amas Obasogie ameanza kuonyesha dalili za kuwa mshindani mzuri wa Djigui Diarra iwapo Yanga itaamua kuwa naye msimu ujao baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo katika kikosi cha Singida...
Curry alivyoizima Orlando akitupia pointi 56 WAKATI Stephen Curry anapokuwa kwenye ubora wake kama ilivyokuwa huko Marekani kwenye hekaheka za michezo ya Ligi ya Kikapu (NBA), kocha wake Steve Kerr anajua tu kwamba lazima mwamba atatupia sana.
Arsenal yahamishia nguvu kwenye saini ya Sesko ARSENAL imeripotiwa kuhamishia nguvu zote kwenye usajili wa straika wa RB Leipzig, Benjamin Sesko kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi huko...
Liverpool imeshika Pauni 120 milioni kumnasa Isak LIVERPOOL imeripotiwa kuwa na ufahamu straika anayemsaka kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi atawagharimu mkwanja usiopungua Pauni 120 milioni.
JKT Tanzania, Tabora United mzigoni tena KIVUMBI cha Kombe la Shirikisho (FA) kinaendelea tena leo kwa mechi sita tofauti, wakati timu 12 zitakapokuwa zikiwania kusaka tiketi ya 16 Bora kuungana na timu zilizotangulia kutokana na mechi...