Kumekucha! Yanga kubomoa kamati ya mashindano BAADA tu ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, vigogo wa Yanga waliitana haraka na kufanya tathmini ya kile ambacho kimewakwamisha na kupitia kikao hicho yapo waliyoyabaini na kuna maamuzi...
MILELE...Mastaa bado wapo sana HIVI karibuni straika wa Manchester City, Erling Haaland alisaini mkataba mpya wa miaka tisa utakaomwezesha kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2034.
Arsenal, Liver, Aston Villa zakomba mamilioni Uefa LIVERPOOL, Arsenal na Aston Villa zinajiandaa kuvuna mkwanja wa maana kwa kumaliza nafasi nane za juu kwenye msimamo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Arteta apiga muziki mazoezini Mpango wa Arteta ni kuhakikisha anajaribu kuweka utulivu wa kutosha kwenye timu yake ili kufikia mafanikio yao ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England.
Amorim avunja TV, mashabiki wafurahia KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amevunja televisheni kwenye vyumba vya kubadilishia baada ya kupata hasira akiwagombeza wachezaji wake kutokana na kucheza kwa kiwango cha ovyo kwenye...
PRIME Ramovic ampigia hesabu beki wa Kaizer Chiefs YANGA imeaga michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini chapu kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic ameanza msako wa kikosi kipya kwa msimu ujao
Xabi Alonso apuuzia ishu ya Madrid KOCHA Xabi Alonso ameupuuzia uvumi unaodai kwamba atakwenda kuwa kocha mpya wa Real Madrid mwishoni mwa msimu huu.
Kompyuta imetaja hawa hapa usajili Big Six USAJILI wa dirisha la Januari limejaa mambo mengi kwenye Ligi Kuu England wakati timu mbalimbali zikipambana kuboresha vikosi vyao ili kuja na nguvu mpya katika mchakamchaka wa kusaka matokeo...
Kauli ya Lisandro Martinez yamchekesha Carragher UKICHOKA watu wanakuchoka zaidi. Na hicho ndicho kinachotokea Manchester United baada ya gwiji wa wapinzani wao Liverpool, Jamie Carragher kuwapiga kijembe kwamba wachezaji wa Mashetani Wekundu...
Mzize awapiga chini Feisal, Dube Kamati ya tuzo za TFF imemchagua kocha wa Yanga, Sead Ramovic kuwa kocha bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu Bara huku pia ikimchagua mshambuliaji wa timu hiyo Clement Mzize kuwa mchezaji bora wa...