Kwa Amorim chochote kinatokea MAMBO ni moto. Ligi Kuu mbalimbali zimesimama kupisha mechi za kimataifa, lakini kipindi hiki kimekuwa cha presha kubwa kwa kocha Ruben Amorim juu ya usalama wa kibarua chake huko Manchester United.
SPUTANZA imeshindwa kufanya kazi yake na wala hakuna anayejali KWENYE Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar, Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), liliifanyia marekebisho madogo sheria namba 3 ya mpira wa miguu katika zile 17 inayohusu mabadiliko ya wachezaji wakati...
Mjukuu wa Kipchoge ang’ara Africa Duathlon Cup Mwanariadha chipukizi, Joseph Okal ambaye ni mjukuu wa gwiji wa riadha, Kipchoge Keino, ameendeleza urithi wa familia kwa kutwaa ushindi katika mbio za wanaume wa daraja la juu (Elite Men) za...
Droo ya makundi CAF kuchezeshwa Novemba Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza Novemba 3, 2025, itachezeshwa droo ya upangaji wa makundi kwa msimu wa 2025-2026 katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho.
Mkenya Chepngetich aendelea kushikilia rekodi ya dunia licha ya kifungo MKENYA anayeshikilia rekodi ya dunia ya mbio za marathoni kwa wanawake, Ruth Chepngetich, aliyefungiwa miaka mitatu baada ya kukiri kukiuka kanuni za kupinga matumizi ya dawa za kusisimua misuli...
Forest yashinda Ulaya kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30 Nottingham Forest imepata ushindi wa kihistoria, huku Viktoria Plzeň ikinusurika kupokonywa ushindi na kuilaza Roma, wakati Go Ahead Eagles ikiishangaza Aston Villa katika usiku wa kusisimua wa...
Nyota Arsenal azitamani fainali za Kombe la Dunia 2026 Nyota wa Arsenal, Gabriel Martinelli ameelezea shauku yake ya kutaka kuwa sehemu ya kikosi cha Brazil kitakachoshiriki fainali za Kombe la Dunia 2026, zitakazopigwa nchini Marekani, Mexico na...
Bruno afikiria kuchapa lapa Manchester Utd NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes ameripotiwa kufikiria mpango wa kuachana na miamba ya Old Trafford kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Matokeo ya mechi za bure Yanga katika CAF YANGA jioni ya leo Jumamosi inashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kurudiana na Silver Strikers ya Malawi katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika.