Real Madrid yatishia kujitoa La Liga REAL Madrid imefikiria mpango wa kujitoa kwenye La Liga, imeelezwa.
Liverpool yaangukiwa na bahati ya ubingwa EPL LIVERPOOL imepewa asilimia 87.65 ya kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu licha ya kushinda kwa mbinde dhidi ya Wolves, Jumapili.
Chido Obi amtumia meseji kocha Amorim STRAIKA kinda wa Manchester United, Chido Obi amemtumia ujumbe kocha wa timu hiyo Ruben Amorim baada ya kumpa muda mchache wa kucheza mechi yake ya Ligi Kuu England dhidi ya Tottenham, Jumapili.
Utamu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, haijaisha mpaka iishe TOFAUTI ya bao moja tu ndilo lililoamua matokeo ya mechi sita kati ya nane za mkono wa kwanza kwenye mchujo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kabla ya kuingia kwenye mechi za marudiano wiki hii.
Benitez ampeleka Trent Bernabeu ALIYEKUWA kocha wa Liverpool, Rafa Benitez amekiri beki Trent Alexander-Arnold atakwenda kuwa moto zaidi kwenye kikosi cha Real Madrid, wakati huu uvumi ukiwa mkubwa juu ya mpango wa kwenda...
Guardiola hofu tupu kwa straika Haaland PEP Guardiola amekiri kupatwa na hofu kubwa baada ya straika Erling Haaland kuanguka uwanjani na kushikilia goti kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Newcastle United wikiendi iliyopita...
Sababu hii itamuondoka Isak Newcastle United NEWCASTLE United huenda ikawa tayari kumuuza straika wake raia wa Sweden, Alexander Isak katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi Ulaya kwa Euro 100 milioni ikiwa itashindwa kufuzu kucheza...
PRIME MZEE WA FACT: Uwanja wa Dodoma ungeitwa Joseph Nyerere Jumatano ya Februari 12 mwaka huu, Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo ilitoa mchoro rasmi wa uwanja wa michezo utakaojengwa jijini Dodoma. Siku iliyofuata Februari 13, wizara hiyo...
PRIME PUMZI YA MOTO: Jux, Vanessa Mdee 'wanapouzika' mgogoro wa Tanzania, Nigeria MOJA ya makosa ambayo mwalimu Julius Nyerere amewahi kukiri kuyafanya wakati wa utawala wake na kuyajutia ni kuitambua Jamhuri ya Biafra.
TAYLOR SWIFT - Kwa pesa tu, aliufunga mwaka kibabe sana MWAKA jana ulikuwa na mambo mengi kwa wasanii wa muziki duniani, kuna wale waliomaliza kwa kuchukua tuzo, wengine walimaliza kwa nyimbo zao kusikilizwa sana na wengine walimaliza na maokoto ya...