Josiah, TZ Prisons lolote litatokea KIPIGO cha mabao 4-0 walichokumbana nacho Tanzania Prisons kutoka kwa Azam FC, huenda kikaondoka na kichwa cha mtu kufuatia mfululizo wa matokeo yasiyoridhisha kwa maafande hao.
Palmer atetewa kukosa penalti KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amemtetea staa wake Cole Palmer kwa kukosa penalti dhidi ya Leicester City akidai kwamba kiungo huyo mshambuliaji aliumwa kabla ya mechi.
Amorim ni Mourinho mpya? KOCHA, Ruben Amorim amepita kwenye nyayo za shujaa wake Jose Mourinho na kufanikiwa kutibua mipango ya Arsenal kwa kuibana na kutoka nayo sare kwenye mchezo wa Ligi Kuu England, huku akidai...
Guadiola anawaza Top Four tu basi PEP Guardiola amekiri kushindwa kuwapo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao litakuwa ni tatizo, lakini hiyo haina maana kwamba ni mwisho wa makali ya Manchester City.
Hawa Liverpool kama vipi wapewe tu! LIVERPOOL imeweka pengo la pointi 15 kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu England na hilo linafanya kikosi hicho cha Arne Slot kusogelea ubingwa.
TFF yafungia viwanja vitatu kwa kutokidhi vigezo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kufungia viwanja vitatu kutumika kwa michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria vinavyotakiwa kutumika kwa Ligi Kuu.
ATM YA WIKI: Heshima NBA imempa utajiri Jordan MOJA kati ya viatu maarufu duniani ni Air Jordan ambavyo vimebeba jina la mchezaji wa zamani wa kikapu wa Marekani Michael Jordan.
Mrithi wa Edu kuleta mavitu ya Atletico Madrid HATIMAYE baada ya mchakato wa muda mrefu wa kumsaka mrithi wa nafasi ukurugenzi wa michezo wa klabu ya Arsenal, iliyokuwa ikishikiliwa na Edu, sasa amepatikana.
Mashabiki wamshangaza Amorim KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameshangazwa na maneno anayoambiwa na mashabiki wa Manchester United wanayomwambia kila wanapokutana naye.
Liverpool wanauliza, bado ngapi? HESABU za ubingwa kwa Majogoo wa Jiji la Liverpool zinatoa matumaini katika kutwaa taji la Ligi Kuu England msimu huu baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Southampton juzi Jumamosi.