Arsenal yaambiwa beba kipa Garcia ana kitu KIPA wa zamani wa Arsenal, Wojciech Szczesny amebonyeza kitufe cha bluu juu ya mpango wa klabu yake hiyo kumtaka kumsajili kipa wa Espanyol, Joan Garcia akiiambia ana kitu.
Mayele ana dakika 180 za kibabe KESHO Jumamosi inapigwa mechi ya kwanza ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Loftus Versfeld, Pretoria, Afrika Kusini kwa kuzikutanisha Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini na...
Mara paap! Vardy anakipiga La Liga STRAIKA Jamie Vardy anaripotiwa kuwekwa kwenye rada ambazo zinaweza kumpa fursa ya kwenda kukabiliana na miamba ya Hispania, Barcelona na Real Madrid kwenye LaLiga msimu ujao.
Mbeumo aende, abaki freshi tu KOCHA wa Brentford, Thomas Frank ameshindwa kufuta uwezekano wa staa wake Bryan Mbeumo kuhama kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi jambo linalowapa mzuka mkubwa Liverpool.
Calafiori aondoke? Hana huo mpango Calafiori alijiunga na Arsenal kutokea Bologna wakati wa dirisha la majira ya kiangazi la mwaka jana, lakini ameshindwa kutamba sana kutokana na kusumbuliwa na majeraha.
Shangwe la Spurs ilipobeba Europa League MASHABIKI wa Tottenham Hotspur hakuna walichoona kinatosha zaidi ya kuvamia kwenye uwanja wao kwa furaha baada ya kikosi chao kufanikiwa kunyakua ubingwa wa Europa League kwa kuichapa Manchester...
Rio Ferdinand: Amorim kazi anayo RIO Ferdinand anaamini msimu wa hovyo wa Manchester United utawapa shida kwenye vita ya kusaka wachezaji wapya wa maana wa kuwasajili baada ya kichapo kutoka kwa Tottenham kwenye fainali ya...
Bayern Munich, Liverpool zamweka njia panda Wirtz KIUNGO mshambuliaji wa Bayer Leverkusen, Florian Wirtz, anatarajiwa kuchagua kati ya kujiunga na Bayern Munich au Liverpool ndani ya siku kumi zijazo.
Salah amwita kijanja De Bruyne Anfield KIUNGO wa Manchester City, Kevin De Bruyne ameibua uwezekano wa kujiunga na klabu nyingine ya Ligi Kuu England baada ya kuaga huko Etihad.
Bruno Fernandes yupo tayari kuuzwa NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes amesema yupo tayari kuondoka endapo kama mabosi wa klabu hiyo wataamua kumpiga bei kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi.